Poa Boss Lady. Mi niko poa kabisa. Mwalimu mwenzio hapa niko nasahihisha mamitihani na kusoma madissertation ya watu ili wafaulu wapate mashahada ya uzamivu huko!
Wasukuma yaani aibu tupu safari hii. Jimbo limekuwa wazi karibia huu mwezi wa tatu sasa na wamepewa nafasi ya upendeleo sana. Sasa hata sijui wanakwama wapi yaani. Akina Wige waje wajitetee!