reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,427
- 29,304
Umenogaaa balaaaNdyoooo mlongo![]()
Umenogaaa balaaaNdyoooo mlongo![]()
Irudiweee irudiweeeeNdyoooo mlongo![]()
Irudiwe coca irudiweeeeeeNdyoooo mlongo![]()
Madam mathematicianMda mwingi Niko porini life bwana acha tuView attachment 2258146
Eti kasubiri tumetoka ndo anatupia yani huyu mlongo huyuIrudiwe coca irudiweeeeee
Yani katufanyia makusudi tuEti kasubiri tumetoka ndo anatupia yani huyu mlongo huyu
Irudiweeeeee
Madam mathematician
Hiyo kiatu ni ya kishujaa sana![]()



ahsante hii navaa porini hukoo ktk harakati za kusaka notiWanawaogopa nn mbona wote wachumba tu,, watoto laininiache kwan, unajua nacheka mnooo hapa.
Tanteeeeeh mlongooo.Umenogaaa balaaa
Mlongo hii boot n ya kibabe sanaa. NoumaaaahMda mwingi Niko porini life bwana acha tuView attachment 2258146
Ibada imekwisha we rudia mlongowee si uko ibadan jaman lol.
Weka picha ya kiuno tuhakiki kama ni wa kawaida.Mmh wa kawaida sana kwa kweli.
Location please?Life's for the living..
Kujeni tuishi View attachment 2258075
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Yaan marekani boot ya kininja sana.eti eehhh!!!santeee
Nipo hapa shos nibariki please !!!
Nipo kwa niaba yake nitamsimulia