spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 8,029
- 21,530
Eti Muhas kumekuajeCuzzzooooo woooooooooow!!!.
Mic u mooaaah,
Hiyo simu inawaka km upara wakooo.![]()
Eti Muhas kumekuajeCuzzzooooo woooooooooow!!!.
Mic u mooaaah,
Hiyo simu inawaka km upara wakooo.![]()
HayaNmepanga siku ya kuzaliwa kwako nije nimwage sera jiandae

ila ishapita hadi mwakani JanuaryLimenikuta Jambo!! Ndo napaka masinzi niwe dark, handsome nifunike shuka usinioneNi nan lakin kakuambia usome ile comment ona sasa![]()
Sawaa wala haikataiHayaila ishapita hadi mwakani January
Limenikuta Jambo!! Ndo napaka masinzi niwe dark, handsome nifunike shuka usinione

Nimecheka. Wewe ni muhandsome hivyo hivyo ujueKumbe ni wewe Depal nlikwambiaga mambo ukanijibu kwa yesu tulikutana arusha
Kwanini kidole cha kati hakina kucha?
Kwanini kidole cha kati hakina kucha?
hahahahaha!!!!etyCuzzzooooo woooooooooow!!!.
Mic u mooaaah,
Hiyo simu inawaka km upara wakooo.![]()
😅😅😅😅Muongo weweSijawahi kufika Arusha aisee
Kweli mkuu..😅😅😅😅Muongo wewe
Oyaa 20pac Bighahahahaha!!!!ety
Hongera mkuu mashaallah umebarikiwaKweli mkuu..
Hayo mashavu au 🤣🤣🤣🤣🤣Hongera mkuu mashaallah umebarikiwa
Una ugeni na selfika? Popo ya kujilipua Selfika kwa mida hii mie ni m1 wa waasisi, we uliyekuja mda mfupi ndo uanze kujiona umefikaa sanaaa? Ukae kwa kutululia.Naona watu wa udaku washaamka eboo wakina cocastic
Aah yani sjui ata nianze na sifa ipiHayo mashavu au 🤣🤣🤣🤣🤣
Yaan anawashwa vibayaa huyu, selfika enyewe kaja juzi, anahaha km kuku wa kideri, aliyekosa kutoa haja. Lol,






