spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 8,029
- 21,530
Kijana mpya uyo kijiweni anashangaa pipo kupita mazima mida hiiUna ugeni na selfika? Popo ya kujilipua Selfika kwa mida hii mie ni m1 wa waasisi, we uliyekuja mda mfupi ndo uanze kujiona umefikaa sanaaa? Ukae kwa kutululia.
Nipooo sanaaaa, labda uombe muongozo wakupe, na habari uwe nayo mwayaaa.
