Poker
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 6,507
- 18,968
Shombe shombe langu la Tanga hiloo mtu akinusumbua tuu, nakuita nakushonea kijora umchambe wee! 😂😂Kikombe cha chai, mia.
Home kweaaa hiyoooo, afu huu ndo msimu wake.
Shombe shombe langu la Tanga hiloo mtu akinusumbua tuu, nakuita nakushonea kijora umchambe wee! 😂😂Kikombe cha chai, mia.
Home kweaaa hiyoooo, afu huu ndo msimu wake.
Wanataka ile ya kwanza😅
Ewaa
🤣🤣🤣🤣🤣🤗🤗👆👆👆👆Ntakununia vibayaa wee nakuzoom tyuuh.
Badoooo, mbna selfika itatikisika km sio kuanguka.
Hewaah!! mwenyekiti mjumbe wako kapatikana!!!Mno, thanks.
Hivi we binti una asili ya huko kwa PaKa?
Ah mimi mwenyewe learner
Weraaaaaah weraaaaah

Naam!! Mwenyekiti
Ndio nafika mamaaHawa wajumbe Kelsea spidernyoka siwaoni lakini katibu!! Vipi tuendelee au tuwasubiri kwanza??
Karibu sana uselfike mjumbe!!Ndio nafika mamaa
Yaan na usomi wako wote, umeishia hapo?Niweke nzuri kwani mm mwanamke![]()
Kelsea yupo kwenye Uzi wa tunda kimasihara ngoja nikamfurumushe awahi kikao!!![]()


weee ndio naingia JF saa hii ,mwenyekiti una nini lakin??Shombe shombe langu la Tanga hiloo mtu akinusumbua tuu, nakuita nakushonea kijora umchambe wee!![]()






wee chizi eti eeh?Enhee tell me binamu