cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,172
Ni yeye nwenyewe jirani yangu..Acc yako nani ame hack 🤣🤣
Mimi ile harufu ya yale mafuta yaoMie wananiuzi mnooo khaaah,![]()
Sa ngap jamanspidernyoka nilituma ujuee! Sitaki deni mie!!View attachment 2257196
🏃🏃🏃
Hata nikipanda daladala kuna namna huwa navutiwa na mtu anayenukia...namuangalia mara mbili mbili.
Siyo jitu linanuka yaani unakaa ubakunja sura jinsi kwapa lake linavyotoa harufu mbaya kama uvundo.
Hii JF mpya majanga mkemia AntonniaSa ngap jaman
Wewe dada ni mzuri hadi kerooooo yani mzuriiiiiiiiiiii!!
Aisee...Mimi sijaupiga mwingi sana.
Nimeongea namna wanaume wanaonukia wanavyocatch attention yangu.
Ukikaa naye safarini huboreki.
Sasa juzi nimekaa na mmama anajikoboa..ile harufu ya micream
Mikono ina rangi 2 aiseee safari ilikuwa ndefu.
Tena mara mbili sasa!Sa ngap jaman
Hapo ndyo nachokaga kbsa yani pisi kama hizi watundu kitandani wanajua haswa kwann lkn tunapeana majaribu

Marahaba jirani..Sijambo shkamoo jirani.
Sasa ukute kachanganya vipodozi, afu awe anatumia tube, na maji yake, wee anakuwa km kaungua lol.Mimi ile harufu ya yale mafuta yao
Inanikera vibaya aisee!






SizioniTena mara mbili sasa!
Sina deni, sidaiwi vyama na sitoki na mume wa mtu!!Sa ngap jaman
!!Sioni uku au umenibloku😁Sina deni, sidaiwi vyama na sitoki na mume wa mtu!!!!
LOMLWow wow 😍
Hurrrrrayyyyy kwa vibonge hurrrrrayyyyyHapo ndyo nachokaga kbsa yani pisi kama hizi watundu kitandani wanajua haswa kwann lkn tunapeana majaribu![]()






!kwa kuangalia tu najua huko mna hali mbaya!! santo sana madam 




!!mbona imekaa sana nimeona hadi like yako!Sioni uku au umenibloku![]()
Sijaona au app yangu yaznguambona imekaa sana nimeona hadi like ulyako! So hujaona hio 9?