Afu ungeweza kupata kabisa, ni vile tu ulishajikatia tamaa. Mimi nyingine nilifanya kubahatisha tu after mtandao kuwa umenizingua, lakini nikakuta haijaingizwa
Hamna mkemia, unajua ni vile tu ushaona huwezi. Mimi hadi niingize vocha ya kwanza, ya pili; wewe hujakamilisha tu ya kwako moja? Na ukifanikiwa tu moja, speed inakuja
Hamna mkemia, unajua ni vile tu ushaona huwezi. Mimi hadi niingize vocha ya kwanza, ya pili; wewe hujakamilisha tu ya kwako moja? Na ukifanikiwa tu moja, speed inakuja
Hamna mkemia, unajua ni vile tu ushaona huwezi. Mimi hadi niingize vocha ya kwanza, ya pili; wewe hujakamilisha tu ya kwako moja? Na ukifanikiwa tu moja, speed inakuja