Wigelekelo JF-Expert Member Joined Sep 2, 2018 Posts 8,765 Reaction score 26,901 Jun 10, 2022 #212,881 Heaven Sent said: Wakisikia tu mende anaongeza nguvu za kiume, haooooooo Click to expand... Sikupingi Sasa kama chips iwe na mayonaiz Embe liwe na pilipili na ndimu Zitatoka wapi hizo nguvu
Heaven Sent said: Wakisikia tu mende anaongeza nguvu za kiume, haooooooo Click to expand... Sikupingi Sasa kama chips iwe na mayonaiz Embe liwe na pilipili na ndimu Zitatoka wapi hizo nguvu
Nations JF-Expert Member Joined May 4, 2022 Posts 4,892 Reaction score 16,997 Jun 10, 2022 #212,882 Hannah said: Sio kweli. Hiyo ndio simu ninayoitumia zaidi kuliko smart. Smart naweza nikaiacha hata wiki sijaigusa. Napenda sana kutumia hako kasimu kwenye kutuma msg ni raha sana. Unaandika msg bila hata kuangalia. Click to expand... Smart wengine ndio ofisi... huto tudogo twa kazi maalumu tu.. kazi ikiisha nako kanaisha πππ
Hannah said: Sio kweli. Hiyo ndio simu ninayoitumia zaidi kuliko smart. Smart naweza nikaiacha hata wiki sijaigusa. Napenda sana kutumia hako kasimu kwenye kutuma msg ni raha sana. Unaandika msg bila hata kuangalia. Click to expand... Smart wengine ndio ofisi... huto tudogo twa kazi maalumu tu.. kazi ikiisha nako kanaisha πππ
Heaven Sent JF-Expert Member Joined Sep 27, 2013 Posts 32,717 Reaction score 98,375 Jun 10, 2022 #212,883 Wigelekelo said: Sikupingi Sasa kama chips iwe na mayonaiz Embe liwe na pilipili na ndimu Zitatoka wapi hizo nguvu Click to expand... Hivi Wige una nini lakini, mambo yalishapita jana wewe unayafuata. Unaona sasa hadi umepitwa na selfie yangu kisa upo comments za janaπππ
Wigelekelo said: Sikupingi Sasa kama chips iwe na mayonaiz Embe liwe na pilipili na ndimu Zitatoka wapi hizo nguvu Click to expand... Hivi Wige una nini lakini, mambo yalishapita jana wewe unayafuata. Unaona sasa hadi umepitwa na selfie yangu kisa upo comments za janaπππ
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,504 Reaction score 203,226 Jun 10, 2022 #212,884 Wigelekelo said: Sikupingi Sasa kama chips iwe na mayonaiz Embe liwe na pilipili na ndimu Zitatoka wapi hizo nguvu Click to expand... πππ we mbona unakunywa uji wenye limao na ndimu ya china, na sijaambia watu
Wigelekelo said: Sikupingi Sasa kama chips iwe na mayonaiz Embe liwe na pilipili na ndimu Zitatoka wapi hizo nguvu Click to expand... πππ we mbona unakunywa uji wenye limao na ndimu ya china, na sijaambia watu
M Mjep JF-Expert Member Joined Oct 28, 2014 Posts 11,716 Reaction score 34,872 Jun 10, 2022 #212,885 Depal said: Matendo mates mnajua penye mnaviachaga π€£π€£ Click to expand... Mimi huyu......! Akaa......... Mimi nineiga kutoka kwako tuu Mimi ni mfichua maovu tuuuπ€£π€£π€£ Hata visimu vidogo hivyo sina
Depal said: Matendo mates mnajua penye mnaviachaga π€£π€£ Click to expand... Mimi huyu......! Akaa......... Mimi nineiga kutoka kwako tuu Mimi ni mfichua maovu tuuuπ€£π€£π€£ Hata visimu vidogo hivyo sina
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 71,988 Reaction score 177,225 Jun 10, 2022 #212,886 Mjep said: Dah....... Yanii hii user name bado inanichanganya boss lady nikiona notification naona kama ingizo jipya hiviπ€£π€£π€£π€£ Ahsante kwa salam madam Leo utajiselfisha nisitoke? Click to expand... Hahahaaaa..mbona nishatupia mr Vocha msijali itabidi niirudishe Mahondaw! Kaa hapohapo usitoke mkuu!!
Mjep said: Dah....... Yanii hii user name bado inanichanganya boss lady nikiona notification naona kama ingizo jipya hiviπ€£π€£π€£π€£ Ahsante kwa salam madam Leo utajiselfisha nisitoke? Click to expand... Hahahaaaa..mbona nishatupia mr Vocha msijali itabidi niirudishe Mahondaw! Kaa hapohapo usitoke mkuu!!
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,504 Reaction score 203,226 Jun 10, 2022 #212,887 Mjep said: Mimi huyu......! Akaa......... Mimi nineiga kutoka kwako tuu Mimi ni mfichua maovu tuuuπ€£π€£π€£ Hata visimu vidogo hivyo sina Click to expand... Ha haa Hongera sana mkuu.. Ni nadra sanaa kumkuta mwanaume hana kisimu cha mchongo π€£ Ni 100/10β¦
Mjep said: Mimi huyu......! Akaa......... Mimi nineiga kutoka kwako tuu Mimi ni mfichua maovu tuuuπ€£π€£π€£ Hata visimu vidogo hivyo sina Click to expand... Ha haa Hongera sana mkuu.. Ni nadra sanaa kumkuta mwanaume hana kisimu cha mchongo π€£ Ni 100/10β¦
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,819 Reaction score 233,249 Jun 10, 2022 #212,888 Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 Jun 10, 2022 #212,889 Heaven Sent said: Em mwambie kwa herufi kubwa Click to expand... Hahaha mmejaliwa ukarimu na roho njema
Heaven Sent said: Em mwambie kwa herufi kubwa Click to expand... Hahaha mmejaliwa ukarimu na roho njema
Wigelekelo JF-Expert Member Joined Sep 2, 2018 Posts 8,765 Reaction score 26,901 Jun 10, 2022 #212,890 CAPTORHINOMORPHS said: Zile nyama nyama uwiiii,, af ukute ana hit gym waist line yaonekana halafu huku chn ni Mercedes benz actros,, ukiwa na moja ya hvo Click to expand... Tatizo lao Water bed inakuwa juu mno Angalau portable kina kimeenda chini
CAPTORHINOMORPHS said: Zile nyama nyama uwiiii,, af ukute ana hit gym waist line yaonekana halafu huku chn ni Mercedes benz actros,, ukiwa na moja ya hvo Click to expand... Tatizo lao Water bed inakuwa juu mno Angalau portable kina kimeenda chini
Heaven Sent JF-Expert Member Joined Sep 27, 2013 Posts 32,717 Reaction score 98,375 Jun 10, 2022 #212,891 Tinsley said: Hahaha mmejaliwa ukarimu na roho njema Click to expand... Na wote tuseme AMEN
Nations JF-Expert Member Joined May 4, 2022 Posts 4,892 Reaction score 16,997 Jun 10, 2022 #212,892 Heaven Sent said: Em mwambie kwa herufi kubwa ππ Click to expand... Saa ngapi tutupie hizo nane jirani ππππ.. mbona usingizi wakati nimetoka kuamka kha
Heaven Sent said: Em mwambie kwa herufi kubwa ππ Click to expand... Saa ngapi tutupie hizo nane jirani ππππ.. mbona usingizi wakati nimetoka kuamka kha
Hannah JF-Expert Member Joined Aug 28, 2015 Posts 10,146 Reaction score 41,401 Jun 10, 2022 #212,893 _King said: Smart wengine ndio ofisi... huto tudogo twa kazi maalumu tu.. kaizi ikaisha nako kanaisha Click to expand... Kazi ikiisha na kenyewe unakatupa. Haka kangu nimekachapa pasword kama zote. Siri hazivuji.
_King said: Smart wengine ndio ofisi... huto tudogo twa kazi maalumu tu.. kaizi ikaisha nako kanaisha Click to expand... Kazi ikiisha na kenyewe unakatupa. Haka kangu nimekachapa pasword kama zote. Siri hazivuji.
Nuzulati JF-Expert Member Joined Nov 25, 2020 Posts 10,675 Reaction score 39,092 Jun 10, 2022 #212,894 Na mimi nataka Vochaπ©
Heaven Sent JF-Expert Member Joined Sep 27, 2013 Posts 32,717 Reaction score 98,375 Jun 10, 2022 #212,895 _King said: Saa ngapi tutupie hizo nane jirani ππππ.. mbona usingizi wakati nimetoka kuamka kha Click to expand... Basi utupie sasa hivi kabla sijapeperuka. Weekend ndefu sana
_King said: Saa ngapi tutupie hizo nane jirani ππππ.. mbona usingizi wakati nimetoka kuamka kha Click to expand... Basi utupie sasa hivi kabla sijapeperuka. Weekend ndefu sana
M Mjep JF-Expert Member Joined Oct 28, 2014 Posts 11,716 Reaction score 34,872 Jun 10, 2022 #212,896 Saint Anne said: View attachment 2256156 Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app Click to expand... Umeanza kumuiga aunt Lizzy mdogo wangu
Saint Anne said: View attachment 2256156 Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app Click to expand... Umeanza kumuiga aunt Lizzy mdogo wangu
Hannah JF-Expert Member Joined Aug 28, 2015 Posts 10,146 Reaction score 41,401 Jun 10, 2022 #212,897 Antonnia said: Mjep mkuu Nilituma hii!View attachment 2256155 Click to expand... Oooh Mashallah
M Mjep JF-Expert Member Joined Oct 28, 2014 Posts 11,716 Reaction score 34,872 Jun 10, 2022 #212,898 Antonnia said: Mjep mkuu Nilituma hii!View attachment 2256155 Click to expand... Ewaaaa....ππ Vitu tulimiss hivi Ahsante sana boss lady
Antonnia said: Mjep mkuu Nilituma hii!View attachment 2256155 Click to expand... Ewaaaa....ππ Vitu tulimiss hivi Ahsante sana boss lady
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 Jun 10, 2022 #212,899 Hannah said: Kazi ikiisha na kenyewe unakatupa. Haka kangu nimekachapa pasword kama zote. Siri hazivuji.View attachment 2256162 Click to expand... Hahah mimi pia Rahisi sana mtu kuingia inbox kwako kusoma sms .
Hannah said: Kazi ikiisha na kenyewe unakatupa. Haka kangu nimekachapa pasword kama zote. Siri hazivuji.View attachment 2256162 Click to expand... Hahah mimi pia Rahisi sana mtu kuingia inbox kwako kusoma sms .
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 71,988 Reaction score 177,225 Jun 10, 2022 #212,900 ππππAsante dear Hannah said: Oooh Mashallah Click to expand...