Ukiamua unaweza mimi nimeweza na nimepungua kutoka kilo 86 mpaka 74
Nilichofanya nakula kila kitu sema kwa kiasi chapati badala ya kula mbili nakula 1,wali nakula kidogo sana ila mboga za majani nyingi matunda yakumwaga na maji mengi na upikie mafuta kidogo sana siku nitaweka kipimo cha chakula nachokula...