Ukiamua unaweza mimi nimeweza na nimepungua kutoka kilo 86 mpaka 74
Nilichofanya nakula kila kitu sema kwa kiasi chapati badala ya kula mbili nakula 1,wali nakula kidogo sana ila mboga za majani nyingi matunda yakumwaga na maji mengi na upikie mafuta kidogo sana siku nitaweka kipimo cha chakula nachokula...
Mimi nitapandisha hapa usiku
Leo siku yangu imebanwa na ratiba ngumuu kuna mahali nimebananishwa siwezi kupata hiyo huduma mrembo
Ila usisahau kuselfika
Mimi nitapandisha hapa usiku
Leo siku yangu imebanwa na ratiba ngumuu kuna mahali nimebananishwa siwezi kupata hiyo huduma mrembo
Ila usisahau kuselfika
Ukiamua unaweza mimi nimeweza na nimepungua kutoka kilo 86 mpaka 74
Nilichofanya nakula kila kitu sema kwa kiasi chapati badala ya kula mbili nakula 1,wali nakula kidogo sana ila mboga za majani nyingi matunda yakumwaga na maji mengi na upikie mafuta kidogo sana siku nitaweka kipimo cha chakula nachokula...