Selfika na JF: Snap it. Show it

Hayo sio pure
Ni Yale makapi ambayo yashachujwa,wafanyabiashara wadogo wanayachukua then wanayachemsha tena na kuyachuja
So kwa tunaojua siwezi nunua hayo

Watu wanayapenda sana maana yako packed na vitamin pia
Na ukiangalia hayana harufu basi ndo chaguo la wengi .
Sema yanatoka kiwandani na watu wanaamini hiyo brand yao ya Sundrop .

Ah kweli huko mnayajua sio huku mafuta mabaya mnaletewa hamjui .
 
Angalia shoppers/ supermarkets

Huku yapo, ila kipindi kile mafuta yanaanza kupanda na yenyewe yakapotea.

Ni mazuri
Nayapenda
Me ni sunola au sundrop

Ooh yanaonekana mazuri sana .
Nikipata hayo natoboa nayo hata mwezi
Mbahili huyo kwa mafuta nilipata tabia wakati nampikia mama wakati huo hakuhitaji mafuta kwa chakula .
 
Yeah huwa ni mzuri sana
Nilitumia mara moja hivi .. nikaupenda

Ah bora mavuno tayari tuanze na michele mpya
Nimenunua mchele mbaya huo na hauishi [emoji23]

Bei zilipanda mwishoni mwa Mei hapo kilo ya mchele hadi 2400
Chapati zake zinatoka laini..
afu sio mgumu kukolea mayai

Kula kila siku 🤣

Vishuke tu vitu bana, juzi kati nimeuziwa mahali maharage alisema ni mapya maji mara 1. Kg 2500
 
Watu wanayapenda sana maana yako packed na vitamin pia
Na ukiangalia hayana harufu basi ndo chaguo la wengi .
Sema yanatoka kiwandani na watu wanaamini hiyo brand yao ya Sundrop .

Ah kweli huko mnayajua sio huku mafuta mabaya mnaletewa hamjui .
Umemix haya maelezo.. sundrop haina povu, wala hayabadiliki hata yakikaa sana ‘kw wale wapishi wa mara chache chache.

Na bei yako juu
Tofauti na hizi alizeti za kina singida
 
Chapati zake zinatoka laini..
afu sio mgumu kukolea mayai

Kula kila siku [emoji1787]

Vishuke tu vitu bana, juzi kati nimeuziwa mahali maharage alisema ni mapya maji mara 1. Kg 2500

Ah kumbe
Chapati zatoka vizuri hivyo kumbe
Nitajaribu kupika kwa chapati nione

Ah sijui vitashuka lini .. kila siku vyapanda tu weh
Ulivyochemsha yaliiva upesi sasa ?

Sema huko mnapata fresh from shamba
Last time nimeununua maharage ilikuwa 2800

Sabuni nazo zipo juu
Sasa bora utumie zako shower gel yako
 
Zinatoka bombastic..

Yes, ila nilipika kwa multi cooker’ 35mins!
Huku vya shambani kuna muda vinakuwa vingi.. ni raha tu, kama hapo August viazi ulaya vitakuwa vingi.

Sabuni ni kweli 🤔
Natumia tu pears, kuna mahali nilikuwa nachukuaga kwa 2500.. sahivi sehemu ya karibu nachukua kwa 3500
 

Okay
Hiyo ndo ya raha mikoa inayolima ..mavuno yakifika vitu vingi kweli na bei rahisi .

Ooh labda vitakuja kushuka miezi ya mbele huko
Kwa sasa hali ni mbaya ..
 
Antonnia asante kwa taarifa
 
Khaaaa 🤣🤣😂

Nilimuona jana kwenye notifications..
Sahivi kabadili
Yuko hapa…. The Queen of Sheeba

Sasa shost ‘kwin’ ikawaje na usenames za watu 😃😃
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…