Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,376
Surbi habibty wangu kipenzi changu tulizo la moyo wangu huoni Christine1 ametupia vitu ebu selfika basi nisije ingia vishawishi basi! Usinibanie ladha ya urembo wako na uzuri wa umbo lako!Kwa leo nimeshafunga mahesabu mkuu ;;
😂😂😂Mambo hayo 🥰
Nikalale sasa
Nakunga mkono kwa moyo mweupeeeee Ingia tu huko vishawishini ! Leo no more pics!Surbi habibty wangu kipenzi changu tulizo la moyo wangu huoni Christine1 ametupia vitu ebu selfika basi nisije ingia vishawishi basi! Usinibanie ladha ya urembo wako na uzuri wa umbo lako!
😋😋😋 kumbe modal kachura flani hiviBonus pic
Mjep usietaka emoj
Haya ss
Asante😂Yaani ningeikosa hii ningeumia sanaaaa
Ahsante mdogo wangu
Umependezaaa😍😍
😋😋😋 kumbe modal kachura flani hivi
Unanichukulia poa eeh😂😂😂😋😋😋 kumbe modal kachura flani hivi
Ngoja nikutumie bando la 50k upost picha cunajua tena kazi na dawa!Nakunga mkono kwa moyo mweupeeeee Ingia tu huko vishawishini ! Leo no more pics!
Asante dearHio nyeusi Umechanganya vizuri!!
Nikalale sasa worshiper tuonane mazoezini 😀😀
View attachment 2254687
Hii kama kweliHakuna kitu pale samaki, na bado siamini kama kuna wanafunzi wanajiuza labda kudanga.. ile ya pale ni mikurumbembe iliyokubuhu alafu inajidai wanafunzi , kama unataka wanafunzi zamia mitaa ya mzumbe kule yan chap au huko huko sua
Mavi yako!!! Hata ya jero tu unaona utafilisikaNgoja nikutumie bando la 50k upost picha cunajua tena kazi na dawa!
😄😄😄 hakika nimekiona sema naishia kuona lol! dunia haipo fair big boy wanafaidiUnanichukulia poa eeh😂😂😂
Uko designer mzuri sana!! Unajipatia kweliAsante dear
Nguo zangu nyingi nadizain mwenyewe nampa fundi maelekezo
Wanajidai wanafunzi ila hakuna, kuna mmoja nilimkutaga sikuwa nataka kwenda kumla, akaniletea mbwembwe sijui kasoma Law mzumbe na bra bra nikaanza tema yai 😁😁 akapoteana nikaona chenga hii hakuna mzumbe wala law hapa.. wanafunzi hawezi jianika vileHii kama kweli
Mimi na rafiki yangu tukawa tunajiuliza hivi mbona hatuwaoni wanaoenda hapo samaki .
Kitabu kilivyo kigumu hapo Sua .. saa ngapi unakula bata hivyo
Tumuombee Amekuaje??Wote tuendelee kumwombea cocastic
KwakoChagua unapotaka
😂😂😂njoo nikupe😄😄😄 hakika nimekiona sema naishia kuona lol! dunia haipo fair big boy wanafaidi