Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Mimi nikifikilia hapo tu navunja kibubu naenda kutumia😁
Mimi nikifikilia hapo tu navunja kibubu naenda kutumia![]()









Ah wapi!pole si mtaumwa makoo
Baridi lipo bhna hasa uku kwetu aiseeAh wapi!
Hiyo baridi unadhani naisikia basi!
Siisikii hata!watu wa Daslama kujiendekeza tu😒,barafu zangu zikadoda.
Weka basi selfie mrembo, mbona unatunyanyasa.spidernyoka Wigelekelo Post M-alone mpooo??? Ile selfii yenu ipo tayari hapa haya itaneni Kabisa hianaga marudio hii!
Kwenu mitaa gani mkuu??Baridi lipo bhna hasa uku kwetu aisee
KigambonKwenu mitaa gani mkuu??
Yawezekana mimi pekeyangu siisikii baridi hapa mjini.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Mbona niliweka picha, we ukasema unataka nipunguze emoji kitu ambacho nisingeweza, nilitafakari nikaona nisingeweza kupunguza emoji.
Inabidi uwaapooze sasa.
Mimi mwenyewe huwa karoho kananiuma mtu akinizungusha sana na picha.
Mfano huyu Post M-alone alinizungusha na picha yake hadi nikasusa.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Ukanipiga kamba Kwa kusema kesho utapunguza😒Mbona niliweka picha, we ukasema unataka nipunguze emoji kitu ambacho nisingeweza, nilitafakari nikaona nisingeweza kupunguza emoji.
Haya basi mrembo yaishe, pole.
Labda.Kigambon
We si una mafuta mkuuLabda.
Mimi mwenyewe naishi maporini tu huku ila baridi wanayoisema watu Wala siisikii Mimi.
Naona hali ya hewa imekuwa nzuri,ile inayoitaka Mimi.
Kuna mtu hana mafuta?We si una mafuta mkuu
Utoke mbeya ukose mafuta alaf mafuta sio ya kua kibonge ila mnakua na layer ya lipid ya kutosha kwenye ngozi inakua kama isolatorKuna mtu hana mafuta?
Halafu Mimi kimbaombao natoa wapi mafuta?
Itakuwa mtu wa kwanza wa Mbeya nisiye na mafuta 😆Utoke mbeya ukose mafuta alaf mafuta sio ya kua kibonge ila mnakua na layer ya lipid ya kutosha kwenye ngozi inakua kama isolator
Ulivokatika ivo kiunonItakuwa mtu wa kwanza wa Mbeya nisiye na mafuta 😆
Nina mafuta usoni tu.
Niliipost nikafuta haraka sana, 🙂 jamaa wa emergency landing 😂😂Ukanipiga kamba Kwa kusema kesho utapunguza😒
Oooh fuckk,shittt😂😂😂😂😂
Nimetukana kama mzee wa emergency landing
Kiuno kikavu hakina mafuta,kina mifupa tuUlivokatika ivo kiunon