Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
WasalimieNdio kubembelezwa raha Kwani hujui???
Haya wacha nipite kushoto mimi kaka as simple as this![]()
WasalimieNdio kubembelezwa raha Kwani hujui???
Haya wacha nipite kushoto mimi kaka as simple as this![]()
Maisha yanaendelea kama kawaidaaaaaa!!Wasalimie
Wamiliki wanakera,tutaandamanakuhani mkuu captan marvelous naona amekata kauli Sasa sipati picha ninyi wafuasi mna Hali gani
Wewe na nani


Tuwekee picha shoga,Ndio kubembelezwa raha Kwani hujui???
Haya wacha nipite kushoto mimi kaka as simple as this![]()
Huyu wetu hapa selfka
Hana ufuasi wala nini
Ni upepo fuata bendera



Kwa nilivowagandisha tangu asubuhi acha tu wateme nyongo 🚶🏽♀️!!Tuwekee picha shoga,
Achana na Wige ashalewa hapo.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Depends na anavyoita huyo mkeoDuh, uitwe daddy na mkeo, hata hainogi...ukute sasa mwingine huko wapi anaanza kuita daddy...aaaagr
Nipasie mkuu!Humu kuna Tandam
Zimesimamia kucha
Kuna Modo za ukweli
Halaf haziringi wala nini
Kumbe umewazungusha sanaKwa nilivowagandisha tangu asubuhi acha tu wateme nyongo!!

Big boy mwenyeweNipasie mkuu!
Au sie ni fungu la kukosa?


Selfika hilo tege
Ndio wako sahihi kabisa . siunajua maneno ya mkosaji .Sasa amesubiria mpaka mshipa umesinyaa wenyewe unategemea nini 😎🚶🏽♀️!
Ndicho kilikuwa kitu cha kwanza nilipofika hapa leoSelfika hilo tege
Ndio. siunajua maneno ya mkosaji!!! Wamesubiria mpaka mishipa imesinyaa yenyewe!





Wasuse sasa ieleweke sio kuleta shombo 😎🚶🏽♀️ !!
Inabidi uwaapooze sasa.
Mimi mwenyewe huwa karoho kananiuma mtu akinizungusha sana na picha.
Mfano huyu Post M-alone alinizungusha na picha yake hadi nikasusa.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Mtu akizingua si unampotezea tu Kwani 😎🚶🏽♀️!
Inabidi uwaapooze sasa.
Mimi mwenyewe huwa karoho kananiuma mtu akinizungusha sana na picha.
Mfano huyu Post M-alone alinizungusha na picha yake hadi nikasusa.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app