Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

26 Maana kwa malaya mtu hutiwa katika hali ya kuhitaji kipande cha mkate; Na kahaba humwinda mtu anase nafsi yake iliyo ya thamani

27 Je! Mtu aweza kuua moto kifuani pake, Na nguo zake zisiteketezwe?

28 Je! Mtu aweza kukanyaga makaa ya moto, Na nyayo zake zisiungue?

29 Ndivyo alivyo aingiaye kwa mke wa jirani yake; Kila mtu amgusaye huyo atakuwa na hatia.

Post M-alone umeona maneno haya 😅😅
 
Mama kijacho Nuzulati nipo nakagua mashamba ya mtoto wetu

C.c Wifi zako .. Heaven Sent Christine1 wakileta maneno maneno uniambie😀😀😀
563EC472-1A22-448F-BA55-D458DC7B1A63.jpeg
76ED448C-3111-4CFD-9315-7CE66570366E.jpeg
81DA44E1-9CC1-4C71-8997-F3CA31389E8A.jpeg
 
Back
Top Bottom