Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,308
- 32,789
Tina Tina kwann lkn
Tina Tina kwann lkn
🙏🏽😍Hbd kipenzi
Sema big boys hapo wameisha weka ligu nzito sanaaa... kwa kipato chetu cha ngama tume fail tayari mzee mwenzangu acha tupambaena wa kienyeji wetu, buku tano maisha flesh... yule bibi nilifanikiwa mzee baba kupata namba zake kesho mapema naruka nae 😅😅😅Umeongea ukweli huyu anafaa sana kuwa mke
Ah hawa jamaa big boys bwana wanatukosesha warembo.Sema big boys hapo wameisha weka ligu nzito sanaaa... kwa kipato chetu cha ngama tume fail tayari mzee mwenzangu acha tupambaena wa kienyeji wetu, buku tano maisha flesh... yule bibi nilifanikiwa mzee baba kupata namba zake kesho mapema naruka nae 😅😅😅
Kufa na utamu wako?!AMINA
Nina habari bhasi mpendwa nipo naendelea kufa na utamu wangu kama muwa.
KARIBU


Chap kwa harakaDear ex unajali sana nashukuru kwa hilo au nirudishe majeshi kwako una nishawishi ujue![]()
Mambo ni poa sana mkuuPost M-alone mgeni anaendeleaje mkuu wangu..
Asante sana 🙏🏽Chap kwa haraka
HBD shemeki
Mkuu ubarikiwe sana, beer unakunywa?100% roho safi, roho nyeupe inayojua kujali yenye utu na heshima. Mgeni yupo kwa mikono salama
Kuna bibi mmoja hivi wa kienyeji kwenye bar ka uswazi kajazia enzi za usichana wake sijui alikuwaje mzee baba, noma kuna ki bar kipo mbezi mwisho pale yupo jikoni nomaa kesho atakuwa off, naenda kujirusha na bibi kizee 😅😅Ah hawa jamaa big boys bwana wanatukosesha warembo.
Yupi tena huyo unaruka nae
Hii picha naihofia kuiugusa, hii picha naihofia kuikukis, hii picha naihofia kuiupenda, sasa nakupenda nahofia kuachwa. Asante.
Beer ya alchol ndio sijawai mkuu, ila nina ka beer kanguu flani hivi 😅😅😅😅Mkuu ubarikiwe sana, beer unakunywa?
Naomba kesho uambikizwe nani😬😬Kuna bibi mmoja hivi wa kienyeji kwenye bar ka uswazi kajazia enzi za usichana wake sijui alikuwaje mzee baba, noma kuna ki bar kipo mbezi mwisho pale yupo jikoni nomaa kesho atakuwa off, naenda kujirusha na bibi kizee 😅😅
acha wivu basi mama kijacho 😬😬😬😬😬😬Naomba kesho uambikizwe nani😬😬
Aaah mwenyewe huyoUmeongea ukweli huyu anafaa sana kuwa mke
Wee mrembo njoo bwana nikuwowe tuishi maisha vizuri tuu