Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,674
- 39,090
Endelea kimoja kila siku,mfano uki upata 😁acha wivu basi mama kijacho 😬😬😬😬😬😬
Endelea kimoja kila siku,mfano uki upata 😁acha wivu basi mama kijacho 😬😬😬😬😬😬
Karibu sana , ni mara ya kwanza nakuona kwenye hili jukwaa, siku yako imekaaje mrembo?poa mkuu
Ngoja kwanzaKuna bibi mmoja hivi wa kienyeji kwenye bar ka uswazi kajazia enzi za usichana wake sijui alikuwaje mzee baba, noma kuna ki bar kipo mbezi mwisho pale yupo jikoni nomaa kesho atakuwa off, naenda kujirusha na bibi kizee![]()



Utanisaidia 😬😬😬😬😬 nitakuwa nakikata kati we nusu na mie nusuEndelea kimoja kila siku,mfano uki upata 😁
Basi unanidai ka beer mkuu..Beer ya alchol ndio sijawai mkuu, ila nina ka beer kanguu flani hivi 😅😅😅😅
Subiri kwanza nikimaliza ndio nitakuambia wapi😅😅😅😅 ila huyo mbibi yupo jikoniNgoja kwanza
Ni pale Q lodge annex
Au pale kwa chini![]()
Taratibu naSubiri kwanza nikiamaliza ndio nitakuambia wapiila huyo mbibi yupo jikoni

Shindwaaa nitahakikisha unameza kumi kila siku ili ujute zaidi😬Utanisaidia 😬😬😬😬😬 nitakuwa nakikata kati we nusu na mie nusu
Shindwaaa nitahakikisha unameza kumi kila siku ili ujute zaidi![]()

Thobotoooooooo, pale najua bado na hata kama tayari haisomi killometer 😅😅😅 kila mtu kivyakeTaratibu na
Mbezi mwisho
Karibu naimaliza![]()
kha! mama kijacho , nitakuja na kidumu cha petrol we nizingue tu 😅😅😅Shindwaaa nitahakikisha unameza kumi kila siku ili ujute zaidi😬
Nakuja chapWee mrembo njoo bwana nikuwowe tuishi maisha vizuri tuu



usijali
Hii mbona hatari tena.Nakuja chapusijali
Shimba Ya Buyenzecome this way kwanza
Ana sh ngapi mahari huyu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii picha naihofia kuiugusa, hii picha naihofia kuikukis, hii picha naihofia kuiupenda, sasa nakupenda nahofia kuachwa. Asante.





