Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

alafu kama vipi leo tusitokee haka ka kipupweee na ka unabaridi ni kubadiri vyumba vya kulala.. bosi atafanya kazi mwenyewe kama vipi 🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️
Na hali ya hewa hii boss atapambana na hali yake, hamna kutoka hata
 
Yako haina hata vocha ya nn ss
Najibu zilizoambatanishwa na miamala ya mpesa
Au ngoja nimuulize Shimba Ya Buyenze km nianze kujibu kila pm

Sent using Jamii Forums mobile app
Jibu PM za Wasukuma tu....

Kumbuka hilo jimbo umetupa Wasukuma baada ya kuchoshwa na wala maparachichi....
IMG-20190916-WA0011~2.jpg
 
Back
Top Bottom