Nations
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 4,892
- 16,997
chai ya maziwaa eh au mchai mchai 😀😀Viwili tuu vinatosha
chai ya maziwaa eh au mchai mchai 😀😀Viwili tuu vinatosha
Ndugu zetu wanafaidi sana asee!!Ijumaa kareem...View attachment 2248860
Ya Tangawizi 😆😅chai ya maziwaa eh au mchai mchai 😀😀
😋😋😋 tamu sana hiyo ukiweka na ki ndimu kwa mbali na asaliYa Tangawizi 😆😅
😍😍🙏Ijumaa kareem...View attachment 2248860
Ngoja nijaribu kuweka hiyo ndimu nione itakuwaje😋😋😋 tamu sana hiyo ukiweka na ki ndimu kwa mbali na asali
😂😂😂😂 Hatari fireeeee🤭🤭🤭 haina kiporo hiyo kila siku mpyaa kama imetoka kiwandani 🦅🦅🦅🦅
Na hali ya hewa hii boss atapambana na hali yake, hamna kutoka hataalafu kama vipi leo tusitokee haka ka kipupweee na ka unabaridi ni kubadiri vyumba vya kulala.. bosi atafanya kazi mwenyewe kama vipi 🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️
Ni bampa to bampaaaa tuu 😅😅😅Na hali ya hewa hii boss atapambana na hali yake, hamna kutoka hata
Eeh! kila siku ni kipyaaaa kinang'aaaa😂😂😂😂 Hatari fireeeee
Jibu PM za Wasukuma tu....Yako haina hata vocha ya nn ss
Najibu zilizoambatanishwa na miamala ya mpesa
Au ngoja nimuulize Shimba Ya Buyenze km nianze kujibu kila pm
Sent using Jamii Forums mobile app



😂😂😂 zasubuiNimeoga… my sweetheart uwa ananiamsha kuoga kabla ya vingine 😅
Kituuuuu 🥰🥰🥰
achana nako hakoo tufanye mambo yetuu sie 😍😍😍😍😂😂😂 zasubui
Weee huyo shoga angu muacheeachana nako hakoo tufanye mambo yetuu sie 😍😍😍😍
Chenyeweeeee😍😍😂Kituuuuu 🥰🥰🥰
kitamuuu hadi kisogoni 😍😍😍Chenyeweeeee😍😍😂
😅😅😅😅😅😅 au basiWeee huyo shoga angu muachee