Bado naonaga watu wanaopigana kwenye hii mitandano ya kijamii hasa kwa hizi fake ID naona watoto, washamba 😀😀😀 yani unakaa unasema ukapisha na spidernyoka huku hamjuaniUsijali aisee sisi wenye macho ya kawaida hatuoni baya
Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
Njoo chukue auntAunt naombaaa,
Ewaaaa ndio ndio ndiooooo na popcorn zetu 🤗🤗🤗🤗 Mungu atupe nini
Tunakujaga kutoa pole na kureport mwishoni, movie ikiwa imeshaisha, tumeshaenjoy ubuyu na shots juuWeeeh likinikuta mtapita kimya kimya kulike komenti za kuninanga!!!
Jf hiii naielewa vizuri...yani vizuri mnoo!!
AweeeHujafanya kitu; ila kuwa na tahadhari. Fanya yako, funga mdomo sijui mikono yako ya ku-type. "Mambo ya watu, waachie wenyewe".
Shouga angu? Shouga angu? Shouga angu? Nimekuita mara 3.
Narudia tena, matatizo au ugomvi wa watu, wee usiwe daraja, wala usiwe njia.
Wenzako walikua ma konkiii, walibadili ID na kukimbia Jf kwa muda.
Nakuuliza tena unayawezaaaa? Wacha nikae kimya mie.
Tuselfike.
Nigee tender ya uchawa basi Shangazi 😁😁 mfuasi mtiifuWeeeh likinikuta mtapita kimya kimya kulike komenti za kuninanga🤣🤣🤣🤣!!!
Jf hiii naielewa vizuri...yani vizuri mnoo!!
Yaniiii!! Humu kunya anye kuku....!!! Cha maana Nilichowafanya sasa🤔🤔🤔🤔Tunakujaga kutoa pole na kureport mwishoni, movie ikiwa imeshaisha, tumeshaenjoy ubuyu na shots juu
Sent using Jamii Forums mobile app
Em andika basi binti Abby.Aweee
Sijui hata nataka kuandika nini…
Anyway
Mwenye masikio na asikie.. kwa kweli
Ila nyie machawa mnaochawiana yatakuja kuwashinda vibaya 😂😂..
Utadanganywa hapa, oooh fake ID haina haja ya kuogopa, afu sasa hawa wote wanaongea hivi, nawaona kabisaa ndo watakao furahia anguko lako hapa JF.Niyaweze wapi mie hata siyawezi kabisa!!
LenieSitaki nikufiche na sina unafiki mwayaaa, wee unatafutiwa bifu, yaan wanakuchokonoa ili ujilipue hao wahusika wapate nafas ya kubattle nawee,
Maana kila mbinu inatumika kukuchokoza, wamekukuta hujari wala nn, ko inatafutwa kila angle hadi ujichomeke wakupate, hii selfika wee ukituma picha, lazima baadhi ya watu wahusishe na mtu mwigne, WHY?
Kwann hao wahusika wasije wenyewe hapa? Au wanatafuta kuonesha wee ndo dhaifu? Nakusihii kitu kidogo kitapoteza merits zako hapa jukwaani. Yaan unaona sometimes mada hazihusiki au za jukwaa lingine linaletwa hapa, KWANINI?
Tafakari na uchukue hatua, kuwa makiniii. Mie nimemalizaaaaaaaah
Na somo likukae.Asante kwa kuni alart mwaya wacha nibalance shobo zangu kwakweli!
Lenie
Ile Pm tunaingiza kundi gani?
Ila watu humu sijui wakoje…Kwani mtu ukimind business zako utapungukiwa nini?
ni choko mchokoe pweza, jichanganye wakudake.
Ila nini unafki na uendelee au sio!
Tutapita tutalike tutazima data tunakuwa out of Jf na maisha mengine.. haidhuru
Fuata ushauri wa Coca..Yaniiii!! Humu kunya anye kuku....!!! Cha maana Nilichowafanya sasa
Kumbe yapo mengi eeh?Lenie
Ile Pm tunaingiza kundi gani?
Ila watu humu sijui wakoje…Kwani mtu ukimind business zako utapungukiwa nini?
ni choko mchokoe pweza, jichanganye wakudake.
Ila nini unafki na uendelee au sio!
Tutapita tutalike tutazima data tunakuwa out of Jf na maisha mengine.. haidhuru
Na tuselfike tyuuuh.Ewaaaaaaaaaaaaaaa umemaliza yote.
Ngoja nitafute picha niselfike sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Limenikaa ila katu Siogopi mtu hata!! Watu kibao Wanasema wengine humuhumu why Mahondaw hahahaha!!Na somo likukae.
Kwanza madogo? Ngoja siku yalipuke mbna JF itasimama hii, na kila nikisoma mchezo, shouga angu hatoboi, anapigwa KO asubuh tyuuuh.
Tunapendana once..Em andika basi binti Abby.
Wanatusemaga tu, wanawake hatupendani; ngoja leo tuambiane ukweli. Sio watu wanakuchezesha ngoma zao afu mdundo unazimikia kwako