Tetramelyz
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 4,369
- 12,469
Ubarikiwe sanaaSelfika na halotel

Ubarikiwe sanaaSelfika na halotel

Yeye yakwake itamfata pm amenambia kashafungu hawezi vunja mguu hapa😅cocastic acha kushangaa kuja hapa dakika sifuri
Mwe nimechelewaSelfika na halotel
Mjumba huchelewi kupindua meza wewe na mahali ikapita hizi.....🤣🤣🤣
Usitoke kaa hapa hapaMwe nimechelewa
ila sie dugu moja kabisa, nikipata mie ndio umepata wewe mali ya dugu haipotei inazunguka tuu humo humo kwenye familia 😁😁😁😁😁😁Mjumba huchelewi kupindua meza wewe na mahali ikapita hizi.....🤣🤣🤣
Hongera chiefUbarikiwe sanaa![]()
Usitoke kaa hapa hapa
Leo kibanda changu cha vocha kimenipa faida ya kutosha nimeamua kugwana na ndugu zangu hapa



nifanyie wepesi kule basi, mimi siwezi kushindana na vijana hapa vocha yenyewe kuingiza hadi nitafute miwani, mara unaingiza mtoto kadaka simu huyu kavuta gauni mradi tafrani😭😭😭😭😭 naiona lkn swez kuifungua
Mimi sina tigonaiona lkn swez kuifungua

Mtaalamu wa ku copy na ku paste umetisha sana ombi lako limepokelewa japo kwa kuchelewaJamn usipige picha, itume kama unavyotumaga tukopi na kupesti.....wengne tunatumia freebasic 😔 Mjep
Wataalamu wa IT wamesha ifanyia mambo🤣🤣🤣😭😭😭😭😭 naiona lkn swez kuifungua
Usikute mods nao wako bize na kukopiWataalamu wa IT wamesha ifanyia mambo![]()



nifanyie wepesi kule basi, mimi siwezi kushindana na vijana hapa vocha yenyewe kuingiza hadi nitafute miwani, mara unaingiza mtoto kadaka simu huyu kavuta gauni mradi tafrani