Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Jioni twende wapi tukaangalizie mpira 😁😁 nikuchulie jezi za Madrid au Liverpool
Mletee kwanza mgonjwa 🍕 akishiba sasa atakua kapona mnaenda kuangalia mpira.

Twende eneo lolote la tukio litakalobamba😊

Nichukulie jezi zote, timu itakayokua inashinda ndio nitavaa jezi yake😂
Hadi mpira ukiisha navaa sasa ile yenye timu ya ushindi😂
 
Ooooooh ouk bas baadae mwayaaa, piga kazi mamaaa.
emoji6.png
emoji6.png
emoji6.png
emoji6.png
Dogo...
Hiiiiiii
Enjoy your day
 
Mletee kwanza mgonjwa 🍕 akishiba sasa atakua kapona mnaenda kuangalia mpira.

Twende eneo lolote la tukio litakalobamba😊

Nichukulie jezi zote, timu itakayokua inashinda ndio nitavaa jezi yake😂
Hadi mpira ukiisha navaa sasa ile yenye timu ya ushindi😂
😅😅😅 wazo zuri sana, tuchukue za arsenal na everton za kuzigia kipindi tunasubiri team moja ishinde..

nichukue kofia za color ipo hapa na au basi 😅😅😅

🍕 nimekuchukulia hata usinge nikumbushaa

Big boy yupo 😉😉
 
Hahahaaaa.....umeniwahii !!😘😘😘♥️♥️ Sijakuona kitambo dia nikuone basi!!
😂😂😂😂...baadae dear...
Nina majukumu kidogo..nikipata kanafasi utaniona tu kipenzi😘😘😘
Much ❤️❤️
 
😅😅😅 wazo zuri sana, tuchukue za arsenal na everton za kuzigia kipindi tunasubiri team moja ishinde..

nichukue kofia za color ipo hapa na au basi 😅😅😅

🍕 nimekuchukulia hata usinge nikumbushaa

Big boy yupo 😉😉
Eeh fanya hivyo ili wasitujue sisi timu gani😂😂
Chagua kofia nyeusii au

Ooh such a caring guy, aki FIB si anaenjoyyy😊😊
No wonder ananawiri kila kukicha

Big boy yupo leo hatoki, kajipumzisha saivi baada ya kupata heavy breakfast😋
 
Eeh fanya hivyo ili wasitujue sisi timu gani😂😂
Chagua kofia nyeusii au

Ooh such a caring guy, aki FIB si anaenjoyyy😊😊
No wonder ananawiri kila kukicha

Big boy yupo leo hatoki, kajipumzisha saivi baada ya kupata heavy breakfast😋
😅😅😅 chusi za design ipi hapa
10352637-92E5-463A-88FF-7A5BB95F06B5.jpeg


alafu chini tuchukue nike au adidas 😁😁😍

Haha FIB yupo kalala , bora Big boy kapiga heavy brekfast muombe sasa ruhusa badae nakupitia 😅😅
 
Back
Top Bottom