Hili la Pm lilikuwa linanikera zaidi.
Massesage yanabebana hovyo hadi unakosa hamu ya kuendelea kuandika.
Hii shida ya kugoma kuquote comments nyingi imenifanya hadi niache kujibu baadhi ya comments..maana watu kibao wamenipa pole.
Badala ikubali niquote wote kwa comment moja tu..eti jadi nianze kujibu mojamoja kitu kile kile!
Mi notifications ilikuwa inakuja ya juzi..sasa hivi inakuja ya masaa 7 na 14 yaliyopita.
Yaani akina
Maxence Melo wanajua kutunyanyasa na hii App