Selfika na JF: Snap it. Show it

Namhala

Oghomhalaga o'mmayo


Obheja gete

Ogwesombhola E ya ngh'ana
 
Mkuu bahati si yako
Nikikuwekea hapa mara 2 zote wakacbukuaπŸ˜…
Sasa hivi niko kwa bed tayari tukijaliwa kesho riziki ikipatikana tumuombe Mungu
Mjep eeeh nisaidie vocha ya buku tu pm hizi unazoweka kuna watu kimya kimya wanaweka na hawaonekani, nataka nataka genetic nimtuzie leo sijakaona humuπŸ˜’
 
Basi sawa


Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
Samahani km nimekukwaza Mr, kutoka ndani ya moyo wangu naomba unisamehe, najua nimekosea na haijawa sahihi kwa jinsi nilivyo react, plz naomba nisamehe.

Ila jaman msivuke mipaka ktk kunizungumzia, hata mie nakasirika na sometimes naumia, mapungufu na madhaifu yangu yasifanye mnidharau kupita kiasi, hata mkiwa mnani dharau sio lazima mnioneshe wazi wazi, kujitoa kwangu ufahamu hapa ndani sio ticket ya nyie mnikejeli na kunidharau hivyo, kuna muda nakua serious na nakua smart na upstairs kuliko mnavyodhani.

Naomba unisamehe Mr, na polee kwa kuondokewa na mzazi wako. Huyo.

Jah aendelee kumtunza na kumuhifadhi huko aliko.
Mwanga wa milele umuangazie daima, Ameeeeeeen!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…