Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nani kasema kufunga ndoa ni bure? Kabla ya kufunga ndoa wazazi wa binti watakubali aondoke bila kupewa "asante" yao?
Kwanza mnawaonea vijana sana!
Asante ni jambo la kawaida
Na vitu vya kawaida tu hutolewa.

Kwa kijana mwenye shauku ya kutaka maisha ya ndoa mbona anatoa tu.

Tunawaonea vipi?
Au nasisi tuanze kutoa Asante??😆
 
Lenie karibu orchid 😅😅😅
9C8FDFAA-13C3-47BE-9CE8-F87F04C66EE1.jpeg
 
To you dada..
it's the days that matter,
for we are unable to chat
in the language we had..

🎶
 
Back
Top Bottom