Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,988
- 48,486
Sio kweliNikipunguza emoj utakimbia![]()
Sio kweliNikipunguza emoj utakimbia![]()
Ukiona ni muda mrefu sana kusubiri basi unaharakisha zoezi la kuhalalisha.Nisubiri hadi 35yrs ndio nionje, yaani ujana wote niutumie kunyanyua vyuma tu hadi nitakapooa?🤣🤣
Tuache dhambi zoteMama Junia tuache nn
Kweli tenaSio kweli
Nani kasema kufunga ndoa ni bure? Kabla ya kufunga ndoa wazazi wa binti watakubali aondoke bila kupewa "asante" yao?Ukiona ni muda mrefu sana kusubiri basi unaharakisha zoezi la kuhalalisha.
Kufunga ndoa ni bure kabisa.
Mnoooo inaboa siku hizi mpk nasahau jf yenyeweOh pole binamu.
App ni janga sana
Asante ni jambo la kawaidaNani kasema kufunga ndoa ni bure? Kabla ya kufunga ndoa wazazi wa binti watakubali aondoke bila kupewa "asante" yao?
Kwanza mnawaonea vijana sana!
Inaboa mno.Mnoooo inaboa siku hizi mpk nasahau jf yenyewe
Niliachia komwe langu hapa😂La nani?![]()
😊😊😊 Naachaje asaaa jiraniiUliniombeaaaaa???
Sawa tumekusikia tunalifanyia kazi 😁Inaboa mno.
Kwanza inaleta notification za siku iliyopita.
Haileti notifications Kwa wakati..
Akina Maxence Melo hebu rekebisheni jamani 🥺
Orchid pako 🔥🔥🔥🔥Lenie karibu orchid 😅😅😅View attachment 2239580
Au sio
🙏🙏🙏🥰🥰🥰🥰🥰Nakazia
![]()
😅😅😅😅 badae nifanyie mpango uniletee yale mambo yetu na hiyo mkononi nime miss
Em nione hilo komweNikipunguza emoj utakimbia😂
Nilikuwa nimepita tuWee kumbe upo matombo kwa waluguru 🤣🤣🤣🤣🤣 ebu njoo pm hapa tukutane hapo nashera baada ya saa limoja