Nafikiri watu wengi bado wana ule mtazamo kuwa walokole ni watu losers, waliojikatia tamaa, wapowapo tu. Ilhali siku hizi kuna vijana wanaojitambua (wenyewe tunasema wanaume wa maana) na wameamua tu kumtafuta Mungu kwa hiyari yao. Total package
application kwenye simu yangu unasumbua Niki install Kila Niki log in Inakataa sometimes hapa nimengia kupitia browser na hua sipendi browser ndo maana najua kimya
application kwenye simu yangu unasumbua Niki install Kila Niki log in Inakataa sometimes hapa nimengia kupitia browser na hua sipendi browser ndo maana najua kimya