Selfika na JF: Snap it. Show it

Pole sana mkuu.
 

Inasikitisha sana sana, una mtoto mdogo kama huyo unaambiwa una cancer unabaki unalia sana, nimependa alivyomtumainia Mungu,ni mfano kwetu, cancer ya ini na kongosho ni death sentence.
He/She has been going through a really tough time, May God help he/she in his/she fight against cancer and give her/him peace and mental strength.
🙏🙏🙏 Amen.

Imani aliyonayo ina shangaza, kweli ana imani, Yesu alisema imani kiasi kidogo cha punje ya haradali inaweza hamisha mlima, Mathayo 17:20, Kwa sababu ya imani yenu ndogo. Ninawaambia kweli, mkiwa na imani ndogo kama punje ya haradali, mtauambia mlima huu, 'Ondoka hapa uende pale,' ...
Cancer ni kitu kidogo sana ukilinganisha na kuhamisha mlima.

Yoshua 1:9​

Je! Si mimi niliyekuamuru? Uwe hodari na moyo wa ushujaa; usiogope wala usifadhaike; kwa kuwa BWANA, Mungu wako, yu pamoja nawe kila uendako.
 
 
 
2 Lakini kwenu ninyi mnaolicha jina langu, jua la haki litawazukia, lenye kuponya katika mbawa zake; nanyi mtatoka nje, na kucheza-cheza kama ndama wa mazizini
 
 
 
 
 
No name on earth can describe Who You are
From eternity past You remain the same forever
In heaven and earth none compares with You
I Am that I Am, I Am that I Am
I Am that I Am, I Am that I Am
I Am that I Am, I Am that I Am

You're the Lion and the Lamb
You are the fire and the water
You are the past and the future
I Am that I Am, I Am that I Am

You are the God of the mountain
You are the God in the valley
The earth is Your footstool
And Yet You live in it
I Am that I Am

😊😊
 
Aketiye mahali pa siri pake Aliye juu Atakaa katika uvuli wake Mwenyezi.

Bye mama pastaaaa jiraniii mda ndio huu wa kuchili na mshua 😍😍
 
 
Ooh pole sana
 
Pole sana Sis
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…