Selfika na JF: Snap it. Show it

Mkuu ahsante sana πŸ™ ubarikiwe.
 
Ila Sulemani bwana...Shujaa wa mabaharia alikuwa huyu mwamba


Hivi ndiye aliandika pia Wimbo Ulio Bora au huyo ni baharia mwingine?
Ndio huyo huyo bwana selemani , Wimbo ulio bora, mithali pamoja na muhubiri

Selemani mwenyewe huyu kasema mie nipinge nini πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Muhubiri 4 : 11

11 Tena, wawili wakilala pamoja, hapo watapata moto; lakini mmoja aliye peke yake tu awezaje kuona moto?

Post M-alone
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… Huwezi ku fail mzabzab akishindwa mtihani wa kukupatia passport ndani ya masaa matatu hajakizi vigezo bado tena tunataka ile ya diplomat
🀣🀣🀣🀣Kama hana pport tutaenda zenji hapo tokatulie hotel verde na mrembo ..ebu vuta picha huyu Lizzy na kabody hako kapiga bathing suit....sii unaweza jipiga bao mwenyewe🀣🀣🀣🀣
 
ahsante sana mkuu
 
πŸ˜…πŸ˜„πŸ˜„ Bila kusahahu msisitizo

2 Ni nini, mwanangu? Tena ni nini, mwana wa tumbo langu? Tena, ni nini mwana wa nadhiri zangu?

3 Usiwape wanawake nguvu zako; Wala moyo wako usiwape wale wawaharibuo wafalme.
Nashukuru sana mkuuπŸ™πŸ™

Mie character yangu naonekana napenda totoz, kitu ambacho ki uhalisia sipo hivyo.πŸ™‚.
 
Nashukuru sana mkuuπŸ™πŸ™

Mie character yangu naonekana napenda totoz, kitu ambacho ki uhalisia sipo hivyo.πŸ™‚.
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… Kuna kupenda, Kuna kutamani, kuna kufurahia. Na sio lazima ukipenda kitu hadi ukifanye , ni sawa na wengine hapa tunapenda one day tununue Gulfstream hata ya mchongo ila naishia kuipenda tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…