Selfika na JF: Snap it. Show it

Dah!

Nimecheka sana aisee kwa sababu ulichokisema ndiyo MO yangu hapa duniani. Huwa natumia karibu kila kitu kwa wastani isipokuwa tu nilivyojaribu vikanishinda na ambavyo najua kuwa vina madhara ya moja kwa moja.

Na huyu daktari siyo mara yangu ya kwanza kugombana naye. Yaani ukienda hata umeongeza kilo 5 tu unalooo utasemwa mpaka ukome. Sema tu nimetoka naye mbali sana na ameshaniokoa na scares kibao vinginevyo ningekuwa nshatemana naye.

Binafsi huwa nafanya vimazoezi na kula vizuri ninapoweza ili kuwa na afya na kujikinga na magonjwa haya yanayoweza kukwepwa kwa kubadili mfumo wa maisha mf. presha na kisukari. Mambo ya BMI na hizi vurugu zingine ni za huyu MD. Shwaini zake halafu!

Nitauzingatia ushauri wako na tarehe 30 June nitaleta mrejesho.

Wabeja (Asante)
 
Miguu najua inalala kwenye soksi. Si ajabu hata vidole navyo huwa vinalala kwenye gloves maana hata kwa kuviangalia tu yaani unaweza kuhisi ulaini wake....

Ndo maana mwenzetu alijiwahi mapema kabisa. Nkamu yu a gojaziiii!

ha ha ha Nkamu hii hata hailali kwenye gloves ipo inatanga tanga tu


Thank you Nkamu nasubiri leo utubariki na Selfie
 
Tunamitazamo inayofanana sana kuhusu tunavyochukulia maisha. Asubuhi nakimbia kidogo natoka jasho, naingia kibaruani, jioni natembea sana ufukweni.
Tatizo lipo kwenye kula na kulala, ratiba haijakaa vizuri Bado. Lakini nafanyia kazi.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…