Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,403
- 12,019
Shangazi nipo badoTulijua umelala mjomba![]()
Shangazi nipo bado
Selfika basii
Irudiweeeeee...Mbona tayari mjomba...
Najitahidi kukuamini,ila nafsi yangu imegoma kabisa.Niamini mimi...
@StrawbellaIrudiweeeeee...
Irudiweeee.......
Irudiweeeee......![]()
Mbona kama umeshtuka?Mkuu pete ya ndoa?
Mkono mashallah!
Tunasubir ya sura sasa.

@Strawbella
Hapana mkuu,Mbona kama umeshtuka?![]()
Fanya vitu basi anti yanguAbee ...

Nasubiria anti Strawbella ashushe kitu nilale mkuuHapana mkuu,
nimeuliza tu sio kwa nia mbaya.
Leo tunakesha hapa tunasubiri selfie ya shangazi hamna namna😄😄Hebu anza wewe kwanza hapo![]()
Mkuu usikwame sasa,Hebu anza wewe kwanza hapo![]()
Usijali ninapekua anti anti tafadhali usiniangushrHebu anza wewe kwanza hapo![]()
Usijali ninapekua anti anti tafadhali usiniangushr
NimepitwaMkuu pete ya ndoa?
Mkono mashallah!
Tunasubir ya sura sasa.