Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Shangazi wewe upo vizuri kotekote.Aika sanaa
unatujuaga dada zako huku chini tunafananaje wala huitaji full![]()
Shangazi wewe upo vizuri kotekote.Aika sanaa
unatujuaga dada zako huku chini tunafananaje wala huitaji full![]()
hakika we ni mrembo na mzuri
Hakika umenifanya nicheke...Aika sanaa
unatujuaga dada zako huku chini tunafananaje wala huitaji full![]()
Sidhani, wewe ndio unazingua mkuu..Anakuzingua ujue...
Hapa anaefunga mtaa ni madam...
Uvivu wangu wa kutembea ndio unaonicost.
Kila siku najisikia uvivu kwenda
Ila wiki hii lazima niende.
Mbona nimeshawishika teyari.
@Strawbella ni hii utaikataa pia?Shangazi wewe upo vizuri kotekote.
Yaani nikinunua tu lazima nitoe mrejeshoSawa dear...

Hakika umenifanya nicheke...
Dada zetu siku hizi wako vyema sana...
Wale mama zetu na bibi zetu ndio waliobaki,huko chini wako hivyo.


Wewe unanipanga aisee,Niamini mimi anakupanga tu...
@Strawbella ni hii utaikataa pia?


Kama wote wanakusifia mimi ni nani nipinge?Sasa mimi ndio lile toleo la mwisho la hivyo kaka![]()
We ni moto, ile picha ilitakiwa tulipieNi mimi au unamuongelea madam mahandaw?![]()
hahahaha.tuhakikishie kwa full moja matata sana.tulaleSasa mimi ndio lile toleo la mwisho la hivyo kaka![]()
Unaonaje tukaumaliza huu utata?Nakataa
Hapa watu ni wahamasishaji wazuri sana
Watakuvurugaa![]()
hahahaha.tuhakikishie kwa full moja matata sana.tulaleSasa mimi ndio lile toleo la mwisho la hivyo kaka![]()