Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,520
- 235,237
Mzungu 🔥View attachment 2236188
Kesi imeisha...
Huku hatutoi vitu clear japo kwa mbali utaona[emoji2][emoji2]
Mzungu 🔥View attachment 2236188
Kesi imeisha...
Huku hatutoi vitu clear japo kwa mbali utaona[emoji2][emoji2]
Bado saa 8 na nusu mchana hapa. Namtafuta huyu mpwa wangu naye simpati. Aje azubae mpaka uondoke huko Usukumani yaani sitasalimiana naye tena...tena shwaini zake kabisa sijui anazubaa nini [emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51]Za asubuh mkwe[emoji3059][emoji3059]
Khe Aya karibumie mtazamaji,rafiki
mmhView attachment 2236188
Kesi imeisha...
Huku hatutoi vitu clear japo kwa mbali utaona[emoji2][emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23]mkwe mwache azubae akute nimehamaBado saa 8 na nusu mchana hapa. Namtafuta huyu mpwa wangu naye simpati. Aje azubae mpaka uondoke huko Usukumani yaani sitasalimiana naye tena...tena shwaini zake kabisa sijui anazubaa nini [emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51]
Uwiiiiiiiiii !!!!!
Nimeona nywele 🔥Kwakweli lazima twende
pamojaKhe Aya karibu
Cuzzo mimi picha yako ninayo nikipost hapa mada ztabadilika ujue
Si Ile umesmama umeegamia umevaa black trou nyie[emoji119]Ipi tena?[emoji2][emoji2]
Asante mkuuMungu anakupenda. Tunakupenda.
Ahaaa!kaka usifanye hivyo.Strawbella usije ukapost full tutashindwa kulala cuzzo sio kwa vile ulivo mashaallah
Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
Shangazi. Ningekuwa sijui kuwa we mbongo ningeweza kubisha usiku na mchana kuwa we ni zile pisi kali za ki-mulatto kutoka Brazil, pisi ambazo zinashikilia nambari wani kwa ulimbwende duniani.
Halafu mwenyewe upo tu yaani unacheka na sisi hapa wala huna makuu dah!
Hahha ndo Ivo mama junia
Nywele hizo ndugu[emoji85][emoji85]View attachment 2236199
Ni kisu moja matata mkuu ukikiona utajikuta umeslide piemAhaaa!kaka usifanye hivyo.
Hahah hamna shangazi sema cute shangazi yangu [emoji3059][emoji7][emoji7] mrembo[emoji3059][emoji3059]
Nimekuiga kuweka picha hivyo[emoji2][emoji2]