Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Nimeshaachishwaaa, baba Mchungaji kaukomesha ubahili wangu.😏😏😀😀😀 nipo PM .. mafuta ya buku tano utaharibu gari hiyo
Nimeshaachishwaaa, baba Mchungaji kaukomesha ubahili wangu.😏😏😀😀😀 nipo PM .. mafuta ya buku tano utaharibu gari hiyo
Kichwa yako ni ngumu sana🤪🤪muone kwanza..😀😀😀 siku za nyumaaa .. papparoti
😅😅😅😅 Umepewa card eehNimeshaachishwaaa, baba Mchungaji kaukomesha ubahili wangu.😏😏
Eeeh ndiwooooooooooo 😆😆😆😅😅😅😅 Umepewa card eeh
😀😀😀😀😀Kichwa yako ni ngumu sana🤪🤪muone kwanza..
Kipindi kilichopita nikageuka customer care…acha uzaramo 😝😝
😀😀😀😀 Safi sanaaaEeeh ndiwooooooooooo 😆😆😆
Litakukuta jambo nakwambia😜😜sirudii labda wewe uanze.June utakuwa location gani😀😀😀😀😀
Naomba irudiwe customer care naomba irudiwe sikuwepo okay wakati wa matukio 😅😅😅😅😅
Ile picha.....Safi sanaaa
alafu nilidanganya ile nasema nipo Lugalo nilikuwa NDC kunduchi 😀😀😀 nilipofika tangi bovu nikasema nipo mwenge , nilipofika lugalo nikasema nimefika 😅😅😅😅😅Litakukuta jambo nakwambia😜😜sirudii labda wewe uanze.June utakuwa location gani
Nilitundika hapa hapa muulize madam shangazi mahondaw au Strawbella na ingine nilitupia usiku kabisaa 😅😅😅Ile picha.....
Hayakuwa makubaliano yetu hayo.Nilitundika hapa hapa muulize madam shangazi mahondaw au Strawbella na ingine nilitupia usiku kabisaa 😅😅😅
Nikumbushe makubaliano yetu atiii 🥹🥹🥹Hayakuwa makubaliano yetu hayo.
Nilitundika hapa hapa muulize madam shangazi mahondaw au Strawbella na ingine nilitupia usiku kabisaa 😅😅😅
NimesusaNikumbushe makubaliano yetu atiii 🥹🥹🥹
Wenzako walaaaaaa 😎😎😎Nimesusa
Leo kuna mahala naenda, nitatupia ingine ... yaani ni 🔥🔥🔥🔥Kabisa ulitrokelezea mno mnoo Obama akasome anko yaniiiii ile suti dahhh....!Au basi!
Leo kuna mahala naenda, nitatupia ingine ... yaani ni 🔥🔥🔥🔥
Yani na juhudi zoote nilizofanya umekosaKhaaa hata niliona sasa. Nimekaa nasubiri selfie yako eti, acha uchoyo bana.
😅😅😅 Lazima nikutag ShangaziWauweeeeehhh!! Usiache kunitag baba pasta .!!