Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kichwa yako ni ngumu sana๐Ÿคช๐Ÿคชmuone kwanza..

Kipindi kilichopita nikageuka customer careโ€ฆacha uzaramo ๐Ÿ˜๐Ÿ˜
๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€

Naomba irudiwe customer care naomba irudiwe sikuwepo okay wakati wa matukio ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
 
Litakukuta jambo nakwambia๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜œsirudii labda wewe uanze.June utakuwa location gani
alafu nilidanganya ile nasema nipo Lugalo nilikuwa NDC kunduchi ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€ nilipofika tangi bovu nikasema nipo mwenge , nilipofika lugalo nikasema nimefika ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…

June nipo hapa hapa Dar - Moro - Dodoma - Shinyanga kati ya hii mikoa ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
 
Back
Top Bottom