Selfika na JF: Snap it. Show it

Lile li mama lilishakamatwa,,nasikia walikuwa wanakata nyeti tu


Mungu atuepushe

Huo upupu umenikumbisha aisee,tukienda kuogelea mtoni wadau wanatia upupu majini aisee,ukimalza kuogelea utaomba ardhi ipasuke
,
yule mama nyinyi khaaaah katetemesha mji aseeeh.
Ndyooo uchi tyuuh na ngozi walikua wanachukua.

Kwa wanaume wanachukua kijojoro na mazende.
Kwa wanawake wanachukua kihebede na manyonyo

, mama chaulembo huyoooo
 
 
Weweeee huogopi 30 yrs?🤣😛

Jaman imemuacha Big boy mwenyew, ananisubiri wacha nikamjoin tumalize siku
Hapana sijasema aliwe akiwa secondary, ila mnaweza kuwa rafiki hadi mda sahihi na huwa wanazitunza.. Nilisha kuwa na mmoja akiwa form two nimekuja piga mzigo akiwa chuoni na akiwa hajaguswaaa 😅😅😅😅 mie sipendi watoto wa sec kuliwa
 
Kama hivyo sawa, unamsaidia kumuencourage ajitunze.

Heee ulikua mvumilivu balaa.
Sasa huyo wa saiv ndio ufunge ukurasa, nje usiangalie tena😃
 
Tena enzi hizo mtu akifika tu, cha kwanza anakagua simu. Kumbe mzee ushafuta kila kitu zamani

Ila nyie wanaume, basi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…