Selfika na JF: Snap it. Show it

Hongereni aisee
 
Gerrard naye

Tumemtuma akafanye kazi amezembea
tulivyofungwa cha kwanza, mashabiki wa liva walianza kutuma text za matusi na kunichamba juuu, HT watu wanapokezan kupiga

Kubwa huyu dada, jaman text zake zilikua sio za staha kwangu, yaan alinimulia haswaah, ikabidi nizime cm, na nkazima TV huku nalia, nkawa nipo kitandan tyuu naugulia maumivu.

Nimefungua cm sio mda, nakuta mashabiki wa city, wametuma text za pongezi, sikuamini nkaingia live score nakuta mambo bam bam nusu niangushe cm.

Huyu dada kesho namuonesha vizuri upande wangu, yaan naona kuchelewa hapa, khaaaah.

Ntamfahamisha km yeye kahaba mzoefu, mie malaya niliyekubuuu

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…