"Omba mume ambaye mtatimiza kusudi la Mungu pamoja" -Mama Mwakasege.
Hatuoi/kuolewa kwa sababu ya upendo; bali kwa sababu ya kusudi la Mungu juu ya maisha yetu. Upendo unaweza ukaishia; Leo ukajaa, kesho ukapungua; lakini kusudi la Mungu aliloweka ndani yetu litabaki kuwa lilelile. Tunaunganishwa na kusudi la Mungu