Yeye ni upendo, ukiishi na kutembea katika upendo basi fruits of spirit tutaziona na kama tukizona basi Mathew 7 12 mtu atasihi.. Mungu ni mwaminifu tuzidi kumuomba neema zake katika tusiyo yaweza...
Wiki yote nimekuwa naomba Mungu anipe neema ya utii, neema ya kuomba zaidi, neema ya kufunga , neema ya kujitoa kama dhabiu , neema ya unyenyekevu , neema ya kuchukia uovu, neema ya kuto kutenda dhambi, nimekuwa naomba .. maana bila yeye hatuwezi neno wala hatuwezi fanya jambo lolote