Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,245
- 22,552
Kumbe ulikuwa wanichocha...mie najua wee utaniambia njoo pm tuyajenge🤣🤣🤣🤣🤣Ooh vyema
Huyo atakuwa kipenzi cha roho yako
Mchawi wako pombe tu mchumba
Hamna Mkuu ,sikuwa nafanya hivyoKumbe ulikuwa wanichocha...mie najua wee utaniambia njoo pm tuyajenge![]()
.Ukifika muda nitaacha kabisaMchawi wako pombe tu mchumba
Wewe?
Akiyanani 🤣
Wee huna chura? Ah basi kasura huwezi kosaHamna Mkuu ,sikuwa nafanya hivyo
Ah wewe unapenda bad girls na wenye chura sasa mie sipo huko.
Sina ndio na sura yenyewe ni ya kaziWee huna chura? Ah basi kasura huwezi kosa
Hiyo ya kazi ndio nzuriSina ndio na sura yenyewe ni ya kazi
I'm a spitting image of my father
Ah kumbeHiyo ya kazi ndio nzuri
Ni kweliAh kumbe
Si mnasema bora uwe na kimoja kati ya hivyo
Wanayumba sana😉Hakika u mpishi mzuri, chapati za namna hiyo nimekula enzi za miaka ya 2000 chapati laini achana na mapishi ya sasa unakula chapati kama mkate, wadada wa sasa sijui wanayumba wapi
Wacha weeeWanayumba sana
Sisi mawaifu matirio,sifa ya kwanza ni kujua kupika chapati![]()

E Bwana.