Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,882
- 136,521
Ee ugonileUgonile
![]()

Ee ugonileUgonile
![]()

Ee ugonileUgonile
![]()

😀😀😀😀 togwa ipo nije kunywaEe ugonile![]()
Zipo wanzuki tutogwa ipo nije kunywa

😀😀😀 Mie nataka Togwa wanzuki nimekuachia weweZipo wanzuki tu![]()
Samaki ndo analiwa hivyo sasa. Siyo kama we ulivyomshika shika jana yule wa kwako. Sijui ulikuwa unafikiri unakula makande?Astakafiru.







Unabubujika tu
Karibu lipoMie nataka Togwa wanzuki nimekuachia wewe

Mdogo mdogoo si unajua tenaa , tumetulia hatutaki makuu sieUnabubujika tu
Lizzy
Naona maharage ya kijani tuUzungu ni mwingi sana, hapo misosi ni ya kutosha, nimekariri greco salad, mwingine artichoke, mwingine sijui nininini...n.k n.k bei $8, hapo wanakusavia, ngoja niendelee kuutafuta ugali dagaa kama nitaupata, nimeumisi sana..
View attachment 2233307