Ila kukusanyika mahala pamoja ni vyema hata biblia imesisitiza, kuna umuhimu wa cooperate anointing ambayo huwezi ipata popote isipokuwa kwenye gathering ya wana wa Mungu. Ila sio formula kwamba ni lazima.. ila ni vyema unapo enda unaweza wasaidia wengine au wewe pia kupata kitu