Hahaha kumbe
Sema sie huku bongo tunaongoza kwenda kuvamia page za watu mfano kwenye mpira account ya CAF akipost picha ina mchezaji wa Simba ah watu wanahamia hapo
na kucomment hapo weh.
Nakumbuka Kama Samatta alivyotoka Aston Villa aisee nilicheka kwenye comment section full kiswahill
Wanalalamika hao tu