Kulala wawili sipendi, mala nyingi naongeaga usiku , au najikuta naomba bila kujua , au nakemea maana wengine tuna roho za kitoto macho yapo wazi kitu kibaya hata kiki cross uapnde wa jirani huku unajikuta unaona unaanza kufoka , so nikajikuta nakuwa sipo comfortabel kulala na watu sana, nikaona kukomesha huu mtatizo na kucholana kila mtu alale kivyake π
π
π
π
na nikilala na mtu nalala masaa machache sana ile alafajiri kabisa