Seleman Mdabi anatafutwa

nameless girl

JF-Expert Member
Apr 22, 2012
4,195
2,664
Habari?

Kwa yeyote ambaye amemuona mtu huyu pichani, tafadhali ninaomba msaada wa taarifa.

Majina yake ni Seleman Mdabi
Ni daktari katika Dispensary iliyopo Tabata kinyerezi. Kabila lake ni Mnyiramba. Kwa sasa ni mgonjwa. Amepotea tangu mwisho wa mwezi wa nane hadi Sasa.
Makazi yake ni Tabata Kinyerezi.

Kwa yeyote aliyemuona hivi karibuni naomba nipigiwe kwa namba 0712504985.

Ahsanteni.

dokta.jpg
 
Habari?

Kwa yeyote ambaye amemuona mtu huyu pichani, tafadhali ninaomba msaada wa taarifa.

Majina yake ni Seleman Mdabi
Ni daktari katika Dispensary iliyopo Tabata kinyerezi. Kabila lake ni Mnyiramba. Kwa sasa ni mgonjwa. Amepotea tangu mwisho wa mwezi wa nane hadi Sasa.
Makazi yake ni Tabata Kinyerezi.

Kwa yeyote aliyemuona hivi karibuni naomba nipigiwe kwa namba 0712504985.

Ahsanteni.
Ww picha iko wap sasa omba uwekewe picha
 
Back
Top Bottom