nameless girl
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 4,195
- 2,664
Habari?
Kwa yeyote ambaye amemuona mtu huyu pichani, tafadhali ninaomba msaada wa taarifa.
Majina yake ni Seleman Mdabi
Ni daktari katika Dispensary iliyopo Tabata kinyerezi. Kabila lake ni Mnyiramba. Kwa sasa ni mgonjwa. Amepotea tangu mwisho wa mwezi wa nane hadi Sasa.
Makazi yake ni Tabata Kinyerezi.
Kwa yeyote aliyemuona hivi karibuni naomba nipigiwe kwa namba 0712504985.
Ahsanteni.
Kwa yeyote ambaye amemuona mtu huyu pichani, tafadhali ninaomba msaada wa taarifa.
Majina yake ni Seleman Mdabi
Ni daktari katika Dispensary iliyopo Tabata kinyerezi. Kabila lake ni Mnyiramba. Kwa sasa ni mgonjwa. Amepotea tangu mwisho wa mwezi wa nane hadi Sasa.
Makazi yake ni Tabata Kinyerezi.
Kwa yeyote aliyemuona hivi karibuni naomba nipigiwe kwa namba 0712504985.
Ahsanteni.