nameless girl
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 4,195
- 2,685
- Thread starter
- #41
Nakujua sana, na ninajua una orodha ya wana jf unaohitaji kuwapa somo, binafsi sijawahi kuwemo katika hiyo orodha kwa sababu sijavurugana nawe kwa jambo lolote.
Vipi mpaka sasa wamipiga wangapi hiyo namba yako?
Una stress za maisha…
Kama huna la maana kaa kimya.
Unadhani kila mtu anafikiria upumbavu kama unavyofanya!
Na hapo we ni mwanaume umekaa kufikiria ujinga…
