Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 19,295
- 60,916
Sawa, ngoja tuendelee kumuulizia..hope atapatikana my dear
Sawa, ngoja tuendelee kumuulizia..hope atapatikana my dear
Saizi zinaonekana vizuri
Achana nae huyu mtu wa system nshamjua, nshakutana nae kwenye mifumo last year usihangaike kabisa
Nashukuru Mamii!!Hongera mkuu, naona ushampata ndugu yake😊
Achana nae huyu mtu wa system nshamjua, nshakutana nae kwenye mifumo last year usihangaike kabisa
Kazi nzuri 👏👏Nashukuru Mamii!!
Kwakweli,Naunga mkono hoja inshort mods ili nalo wakalitazame![]()
![]()
![]()
Watu wa system hawapotei wanatoweka kwa muda atajileta au ataozea huko huko achana nae huyo mafia wanajua a haoAmepotea August hadi leo
Poa nimeionaTayari mkuu
Kama kasajili kwajili ya tangazo lake mitandaoni ,wataumbukaKuna majinga yanafurahi kupata namba yako eti
Waliosoma Cuba kamwe hawawezi piga hiyo namba 😂Kama kasajili kwajili ya tangazo lake mitandaoni ,wataumbuka
Mmejaribu kuangalia mochwari zote?
N A K A Z I AWaliosoma Cuba kamwe hawawezi piga hiyo namba![]()

Kuna watu hawamjui vyema nameless girl, wapige tu hiyo namba ila wasiache kukiri huko mbeleni kuwa waliingizwa king😂N A K A Z I A![]()
Kuna watu hawamjui vyema nameless girl, wapige tu hiyo namba ila wasiache kukiri huko mbeleni kuwa aliingizwa king![]()
Nakujua sana, na ninajua una orodha ya wana jf unaohitaji kuwapa somo, binafsi sijawahi kuwemo katika hiyo orodha kwa sababu sijavurugana nawe kwa jambo lolote.Unanifahamu? Au kuna jambo unalitafuta?