Selection za NACTE 2016 zitatoka lini?

Selection za NACTE 2016 zitatoka lini?

Siku sisi waswahili tukianza kuthamini muda na kuona mali tutapiga hatua
 
Kk kuna vyuo vinafunguliwa tr 04/07/2016 na vingine tr 11/7/2016 hapo cjui nacte wamejipangaje kwa Hilo?
 
nyie madogo acheni papara,wenzenu mwaka jana walifanya applcation tangu mwez 4 selection zikaja kutoka mwezi 10.nyie mmekaa mwezi mmoja tu mnaanza kulalamika
 
nyie madogo acheni papara,wenzenu mwaka jana walifanya applcation tangu mwez 4 selection zikaja kutoka mwezi 10.nyie mmekaa mwezi mmoja tu mnaanza kulalamika
Sasa wangejua hivyo wasingetangazia umma kwamba watatoa kwa muda wa wiki NNE
 
Jamani vichwa vinaumaa matumboo ya kuhara nomaaa, tunawasubiri NACTE kozi za Afya jamani chonde chonde tuleteeni majina tujue tufanye nini. Kama ni ada tuandae mapemaa kama ni kuendelea na kazi zetu za kuuza chipsi tuendelee kwasababu wengine ada tunajitafutia wenyewe.

Jamani mwenye tetesi zozote kuhusu lini NACTE wanatoa majina ya tulioapply kozi za Afya naomba atujulishe maana leo ni July 4. Kulikoni NACTE?
 
acha kudangaya wAtu bwana, mwak jana walienda vyuoni mwez 5 tena hao ilikuwa no second selection.
 
nikwel kuna vyuo vinafunguliwa mweza7 km dit,nit
nit hakiwez kufunguliwa hyo tarehe... coz mi nasoma degree hapa mwaka wa tatu, tunamaliza UE tareh 22 mwez wa saba... kwa hyo from hyo tarehe ndo watu wa semista nyingne wanaweza kuingia......
 
Back
Top Bottom