Selection za NACTE 2016 zitatoka lini?

Selection za NACTE 2016 zitatoka lini?

Mwambie nA sisi wenye certificate tunataka kuomba mlituahid wangefungua
 
Khaa we vipi? hii siyo wiki ya kwanza ya mwezi wa 7 bali ni wiki ya mwisho ya mwezi wa 6. Wiki ya kwanza ya mwezi wa 7 itaanza tarehe 4/07/2016 siku ya Jumatatu. Ila leo ni tarehe ya kwanza ya mwezi wa 7.
 
waeke matokeo watu wadogo zetu wamepangiwa shule zza mikoani halafu ni day school, ena combination walizochagua na kufaulu wamenyimwa
 
we jamaa unaejiita andrew sospeter
,,haya mambo kama hayakuhusu nyamaza!! naona unachangia vitu vya ajabuajabu..
mara useme zimetoka,, mara useme hivii!!
hujui watu wanataka kujua hatma za maisha yao hapa!!
be matured!!
 
tunamalizia michakato ya kuwachambua wanaofaa kuweni wavumilivu ok
 
Yaeh matokea tatatoka baada ya second selection kidato cha tano kutangazwa kuanzia tr 05/08 /2016 ndipo nao nacte watakapo tanganza matokeo hapo tr 30 /08 /2016 be patient all student applied for certificate and diploma poleni kwa usumbufu
Hivi ukiapply certificate chuo inaweza kusababisha usichaguliwe kwenye second selection kidato cha tano,?
 
Watu wengine bwana,kuuliza kuanza kwa muhula wa masomo na huku selection bado ni sawa na kununua nepi na huku mtoto bado hajazaliwa.
 
Ndg zangu wote tunakumbuka kwamba tarehe 9/6/2016 nacte walitoa tangazo lililokuwa linasema Kuwa selection zingetoka ndani ya wiki nne tu,yaani kuanzia terehe 3/6/2016.Ukipiga mahesabu kuanzia hiyo tarehe wiki nne zinaisha leo tarehe 3/7/2016, Cha kushangaza zaidi kwenye updates zao hakuna tangazo lolote linalosema labda tuwape muda.Je huu ni uungwana wanaotendewa hawa watoto wa maskini?,Karibu tuchangie,matusi mwiko hapa.
 
vumilia kidogo mkuu siunajua serikali yetu ilivyo na maneno ya mtanzania pengine ndani ya hii wiki mambo yatakua hadharani.
 
Yan wabongo majungu sanaa sijui tukoje kwa kupenda symphaty hatujambo. Sasa hapo mambo ya watoto wa maskini yanatoka wapi. Yani direct umekaa kiulalamishi.
Tujifunze kuandika habari kwa weledi kidogo itasaidia.
 
Hawakusema ndani ya wiki nne walisema baada ya wiki nne toka tar 3/6
Kwa hali hyo kesho ndo itaanza kutumika kuwa ni baada sio leo wala wiki iliyoisha
 
Back
Top Bottom