Selection za NACTE 2016 zitatoka lini?

Selection za NACTE 2016 zitatoka lini?

Ndg zangu wote tunakumbuka kwamba tarehe 9/6/2016 nacte walitoa tangazo lililokuwa linasema Kuwa selection zingetoka ndani ya wiki nne tu,yaani kuanzia terehe 3/6/2016.Ukipiga mahesabu kuanzia hiyo tarehe wiki nne zinaisha leo tarehe 3/7/2016, Cha kushangaza zaidi kwenye updates zao hakuna tangazo lolote linalosema labda tuwape muda.Je huu ni uungwana wanaotendewa hawa watoto wa maskini?,Karibu tuchangie,matusi mwiko hapa.
 
Ndg zangu wote tunakumbuka kwamba tarehe 9/6/2016 nacte walitoa tangazo lililokuwa linasema Kuwa selection zingetoka ndani ya wiki nne tu,yaani kuanzia terehe 3/6/2016.Ukipiga mahesabu kuanzia hiyo tarehe wiki nne zinaisha leo tarehe 3/7/2016, Cha kushangaza zaidi kwenye updates zao hakuna tangazo lolote linalosema labda tuwape muda.Je huu ni uungwana wanaotendewa hawa watoto wa maskini?,Karibu tuchangie,matusi mwiko hapa.
mi ninavyoona hawa nacte nao ni jipu tena lililoiva , lingekuwa sio jipu wangeeleza umma wa watanzania nn kinaendelea!!
 
Jamani vichwa vinaumaa matumboo ya kuhara nomaaa, tunawasubiri NACTE kozi za Afya jamani chonde chonde tuleteeni majina tujue tufanye nini. Kama ni ada tuandae mapemaa kama ni kuendelea na kazi zetu za kuuza chipsi tuendelee kwasababu wengine ada tunajitafutia wenyewe.

Jamani mwenye tetesi zozote kuhusu lini NACTE wanatoa majina ya tulioapply kozi za Afya naomba atujulishe maana leo ni July 4. Kulikoni NACTE?

Usiwe na haraka mmeambiwa ni baada ya mwezi mmoja,,watatoa majina ya waliochaguliwa
 
Back
Top Bottom