Selection za NACTE 2016 zitatoka lini?

Selection za NACTE 2016 zitatoka lini?

Mnaweza nisaidia jinsi ya ku download vitabu vya masomo mbali mbali kweny cm ..vya o level na advance
 
Mnaweza nisaidia jinsi ya ku download vitabu vya masomo mbali mbali kweny cm ..vya o level na advance
Nenda Google kisha andika aina ya kitabu utakacho lakini mwishoni unaandika pdf.
Hakikisha una app ya adobe reader au nyengine ya namna hiyo
 
Jamani NACTE wamechelewesha matokeo sababu bado wanajadiliana na TCU kuhusu hatma ya watu walioomba degree kwa kigezo cha diploma kumbukeni kwamba wakati watu wanaomba degree kupitia Nacte kigezo kilikua diploma GPA kuanzia 2.7 na kuendelea lakini kwa sasa TCU wanataka GPA kuanzia 3.5 tena kuanzia mwaka huu sasa swali ni kwamba je wale walioomba degree kupitia Nacte wenye diploma GPA kuanzia 2.7 hadi 3.4 watarudishiwa pesa ? au watachaguliwa kwasababu waliomba kabla ya muongozo wa TCU haujatoka ? haya ndio maswali yaliopo mezani yanajadiliwa.
 
Ikiwa Necta wao wamesha toa matokeo ya 4 na 6 kwa wakati sambamba na post kwa advance je nitakuwa nakosa kumuomba ridhaa mkuu wa kaya nitumbue hili jipu la nacte? ambalo lilotoa ahadi ila mpaka sasa bado
 
Jamani NACTE wamechelewesha matokeo sababu bado wanajadiliana na TCU kuhusu hatma ya watu walioomba degree kwa kigezo cha diploma kumbukeni kwamba wakati watu wanaomba degree kupitia Nacte kigezo kilikua diploma GPA kuanzia 2.7 na kuendelea lakini kwa sasa TCU wanataka GPA kuanzia 3.5 tena kuanzia mwaka huu sasa swali ni kwamba je wale walioomba degree kupitia Nacte wenye diploma GPA kuanzia 2.7 hadi 3.4 watarudishiwa pesa ? au watachaguliwa kwasababu waliomba kabla ya muongozo wa TCU haujatoka ? haya ndio maswali yaliopo mezani yanajadiliwa.
Serikali haitupani Hilo swala litakaa tuuu pow
 
[QUOTCo was "Compact, post: 16868773, member: 333899"]Madogo mnazingua Sana. Uzi nyingi za kuhusu NACTE zimejaa humu. Yaani kila saa uzi mpya unaanzishwa kuhusu Selection. Kwani wamekataa kuyatoa? Ishu ipo kwenye process. Punguzeni wenge.[/QUOTE]
Tatz co wakwl walisema wik 3 mpk 4 tokeo ewan Nw N miez xx
 
kumbukeni kwa mujibu wa tangazo la tcu applicaton zote za degree lazima zipite tcu,so isije ikawa mlio omba mapema mkawa mliwaaaaaaaaa😵😵
 
Sikieni, NACTE hawajatoa kweli selection za certificate na diploma. Sababu moja wapo ni mkanganyiko ambao TCU wameutoa, kwamba Bachelor Degree zote wanazipitisha wenyewe Tu.

Pia mbona muda bado sana, vyuo vinafungua mwezi wa 11, TCU wenyewe hawajatoa ila nyie kila siku mnalia na NACTE.

Also according to chanzo cha kuaminika, Next week NACTE watafungua tena Application za certificate na diploma ili kuwapa mwanya wanafunzi wa form six walioshindwa vigezo vya TCU kusoma diploma.
 
Back
Top Bottom