CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,358
- 6,422
Hawajaonyesha vyuo please.Hata kwenye profile tayari wameshatoa selection hizo.
Pia unaweza ukasearch namba yako ya mtihan ukapata majibu
Hawajaonyesha vyuo please.Hata kwenye profile tayari wameshatoa selection hizo.
Pia unaweza ukasearch namba yako ya mtihan ukapata majibu
Nielekeze namna ya kufatuja jina languHata kwenye profile tayari wameshatoa selection hizo.
Pia unaweza ukasearch namba yako ya mtihan ukapata majibu
Wametoaa ndio kuwa nmechaguliwaa ila awakuonyesha chuo husika bali wamesema nsubr confirmation and verification kutoka chuonHata kwenye profile tayari wameshatoa selection hizo.
Pia unaweza ukasearch namba yako ya mtihan ukapata majibu
Vilivyobaki ni vyuo vya binafsi kwa wingi, mvuto sina kusema kweli, ni hiyo basi nifanyeje!Wametoaa ndio kuwa nmechaguliwaa ila awakuonyesha chuo husika bali wamesema nsubr confirmation and verification kutoka chuon
Haina jins mkuu inabid mtu ukomaee...Vilivyobaki ni vyuo vya binafsi kwa wingi, mvuto sina kusema kweli, ni hiyo basi nifanyeje!
KweliHaina jins mkuu inabid mtu ukomaee...
Jamani mm na swali dead line ni tarehe 15 ya ku apply vyuo kupitia nacte sasa kwa wale walioomba kuanzia tarehe 10 hadi 13 maombi yao yatakubalika kweli??????
Ndio kakaJamani mm na swali dead line ni tarehe 15 ya ku apply vyuo kupitia nacte sasa kwa wale walioomba kuanzia tarehe 10 hadi 13 maombi yao yatakubalika kweli??????
Ndiyo kuna jamaa yangu kaandikiwa hivyoPLEASE CHECK ADMISSION STATUS:
Congratulations! You have reached the end of admission application process, below is a summary of your application status.
Please review it and make follow up in the places which require your attention.JAMANI KUNA MTU KAAMBIWA HIVI KAMA MIMI?
Ndyo jamaa yangu kaweka matatu lakini ajaambiwa hvyo kama ww ulivyoandikiwa, inawezekana umeandikiwa edit qualification, na add more choice kama umeandika hvyo kuna kozi umechagua haziendani na ufaulu wakoJamani kuna aliyeweka machaguo pungufu ya tano? Mbona kama nalazimishwa kuweka machaguo matano?
Angalia vzur kabla second selection hazijaachiliwa. Fanya hvyo harakaNdyo jamaa yangu kaweka matatu lakini ajaambiwa hvyo kama ww ulivyoandikiwa, inawezekana umeandikiwa edit qualification, na add more choice kama umeandika hvyo kuna kozi umechagua haziendani na ufaulu wako