Selection za NACTE 2016 zitatoka lini?

Habari zenu.

Week lililopita, tulienda ofisi za NACTE. Lengo sio kuuliza selection zitatoka lini, ila kuuliza possibility ya kufungua Application za Certificate na Diploma kwa mwaka wa Masomo 2016/17 zipo?

Kwa mujibu wa "anonymous" mmoja wa ofisi za pale, alisema watafungua tena zoezi la application za certificate na diploma, walisitisha kwa muda ili wazishughulikie kwanza zilizo wafikia. hii system ya CAS kwao ni ngeni hivyo inaleta "mushikemushike" kidogo.
Pia, kutokana na yaliyotokea TCU, na kusababisha form six leavers wengi wakose sifa za kujiunga na Higher Institutions, wao itabidi wafungue tena zoezi la kupokea maombi ili wasiwanyime hawa vijana nafasi ya kusoma.

imo kutokana na hayo matukio mawili, either selection zitacheleea kidogo, au zitatoka kwa batch.

zilichelewa ni vibaya, kwakua utakua umempotezea muda mwingi sana mwanafunzi. bora zingekuja mapema ata kwa batch. walio apply mapema watolewe selection watakao apply apply second round zitatoka mwezi ata wa 10.
 
Nitoeni shaka ndugu zangu kwa ufauku huu ndugu yangu anaweza kuchaguliwa kwenye chuo chochote na huu mfumo wenu wa kisasa wa udahili!?
Biology D, Chemistry C, Geography D, Kiswahili B, English C, Physics E, History E, Civics E, Math F,
Amemaliza form four 2014 akupata nafasi ya kuchaguliwa though tuliomba kupitia nacte na alichagua kozi za afya lkn hakupata naomba mniambie ukweli nijue cha kufanya asije akabeba mimba hapa nymbani nduguzanguni.
 
Walisema baada ya wiki tatu au nne nafikiri hazijafika kwa mujibu wa hesabu zao ila kwamimi zimefika na kupita sasa ni miezi miwili.
 
Nitoeni shaka ndugu zangu kwa ufauku huu ndugu yangu anaweza kuchaguliwa kwenye chuo chochote na huu mfumo wenu wa kisasa wa udahili!?
Biology D, Chemistry C, Geography D, Kiswahili B, English C, Physics E, History E, Civics E, Math F,
Amemaliza form four 2014 akupata nafasi ya kuchaguliwa though tuliomba kupitia nacte na alichagua kozi za afya lkn hakupata naomba mniambie ukweli nijue cha kufanya asije akabeba mimba hapa nymbani nduguzanguni.
naona physics kazingua angepaswa apate d kupanda juu sababu kozi yoyote ya afya wanachukua masomo ya chemistry, biology na physics uwe una c mbili na d moja sasa hapo kakosa sana maana ana cde
 
Mbona anaouwezo wa kwenda private kwa principles alizopataa...though aanaweza aka apply nacte kwa koz ya biashara yoyote hile....
 
Habari zenu.

Week lililopita, tulienda ofisi za NACTE. Lengo sio kuuliza selection zitatoka lini, ila kuuliza possibility ya kufungua Application za Certificate na Diploma kwa mwaka wa Masomo 2016/17 zipo?

Kwa mujibu wa "anonymous" mmoja wa ofisi za pale, alisema watafungua tena zoezi la application za certificate na diploma, walisitisha kwa muda ili wazishughulikie kwanza zilizo wafikia. hii system ya CAS kwao ni ngeni hivyo inaleta "mushikemushike" kidogo.
Pia, kutokana na yaliyotokea TCU, na kusababisha form six leavers wengi wakose sifa za kujiunga na Higher Institutions, wao itabidi wafungue tena zoezi la kupokea maombi ili wasiwanyime hawa vijana nafasi ya kusoma.

imo kutokana na hayo matukio mawili, either selection zitacheleea kidogo, au zitatoka kwa batch.

zilichelewa ni vibaya, kwakua utakua umempotezea muda mwingi sana mwanafunzi. bora zingekuja mapema ata kwa batch. walio apply mapema watolewe selection watakao apply apply second round zitatoka mwezi ata wa 10.
Hv website yao inafanya kazi,maana karibu mwezi mzima nilikuwa siwezi log in kwenye profile yangu
 
Kimya kingi kina mshindo mkubwa. Ukimya huu wa NACTE una maana gani. Au vyuo vya NACTE vinafunguliwa October kama Universities. Kenya, Uganda "mbali" tungesepa
 
jaman iv katika ufundi kunawatu saiz wanapiga access course mana huwaga ni tarehe ni mwez wa 6 au wa 7 kwa must sion kinacho endelea cjajua kwa dit na arusha tech
 
jaman iv katika ufundi kunawatu saiz wanapiga access course mana huwaga ni tarehe ni mwez wa 6 au wa 7 kwa must sion kinacho endelea cjajua kwa dit na arusha tech
 
Nacte selection washatoa ila majina yamepelekwa vyuo husika kwa wale walioomba cert na diploma. Kwa hyo chuo husika ndio wanatakiwa kukutaharifu ww mwanafunzi na kuna baadhi wameshachaguliwa na hadi joining instructions wamepata
 
Nacte selection washatoa ila majina yamepelekwa vyuo husika kwa wale walioomba cert na diploma. Kwa hyo chuo husika ndio wanatakiwa kukutaharifu ww mwanafunzi na kuna baadhi wameshachaguliwa na hadi joining instructions wamepata
iyo ndo stail watakayo kuja nayo sasa mana kunawengine wanataka kuapply na kama ujachaguliwa it means chuo akikup taarifa au?
 
Hata kwenye profile tayari wameshatoa selection hizo.
Pia unaweza ukasearch namba yako ya mtihan ukapata majibu
 
Back
Top Bottom